KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Saturday, December 9, 2017

RAISI ATOA MSAMAHA KWA PAPII KOCHA NA BABU SEYA

Raisi Dkt. John Magufuli ametoa msamaha kwa wasanii Papii Kocha na Nguza Viking a.k.a Babu Seya waliokuwa wanatumikia kifungo cha maisha jela.
Raisi Magufuli ameyasema hayo mapema leo alipokuwa anahutubia katika sherehe za kuazimisha miaka 56 ya uhuru wa Tanganyika.