Mamia ya watanzania wajitokeza katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam Leo kuuga mwili wa Marehemu Albert Mangwear aliefariki Dunia Mwezi siku ya Jumanne ya Tarehe 28 Mei huko South Africa na mwili wake kusafirishwa na kurudishwa Tanzania siku ya jana na kuagwa leo jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa tena na kuelekea Morogoro kwa ajili ya Mazishi. Zoezi la kuaga mwili wa marehemu katika Viwanja vya Leaders limezua Utata kutokana na watu kugambania kutaka kwenda kutoa heshima za mwisho mpaka Polisi walipoingilia kati zoezi hilo kwa kuwasimamia Raia hao kufuata utaratibu ili zoezi liweze kwenda kama lilivyopangwa. Mwili wa Albert Mangwear kwa sasa upo njiani kuelekea mjini Morogoro kwa ajili ya mazishi ambayo yamepangwa kufanyika kesho huko huko Morogoro.
KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP
Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More
Wednesday, June 5, 2013
4:04 AM
No comments
JUKWAA MAALUMU LILILOANDALIWA KUMUAGIA MAGWEHA
Picha iliyopo hapo juu ni stage maalumu iliyoandaliwa kwaajili ya kumuagia Magweha. Jukwaa hili maalumu liliandaliwa siku ya jana pale katika viwanja vya Leders jijini Dar es salaam.
Tuesday, June 4, 2013
9:11 AM
No comments
WATANZANIA WALIOJITOKEZA KUMPOKEA NGWEAIR
Umati mkubwa wa watanzania waishio jiji la Dar es salaam, waliojitokeza kupokea mwili wa marehemu Albert Mangweha.
Monday, June 3, 2013
2:27 PM
No comments
WATANZANIA AFRIKA KUSINI WAMUAGA NGWAIR
Majonzi na simanzi ndiyo yaliyotawala wakati wa kumuaga ndugu yetu mpendwa Albert Mangweha. Ndugu zetu watanzania wanaoishi Afruka ya Kusini walichukua nafasi yao katika kuakikisha wanamsindikiza ngugu,rafiki yao Ngwair akalale mahali pema peponi.
R.I.P bro Mangwair!
R.I.P bro Mangwair!
2:10 PM
No comments
packers-movers-chennai.agarwal-packer-mover.com
http://packers-movers-chennai.agarwal-packer-mover.com/ Our Experts help our clients from packing of goods, to loading and transportation of goods, to unloading and unpacking of goods. They understand well that you hire professional services so that your belongings can be transferred to your place.Top 4 Packers and Movers in Chennai provides Packers and Movers in Chennai, Car Transportation Services in Chennai, Car Career Service in Chennai, Relocation Services in Chennai, Cargo Services in Chennai, Movers and Packers in Chennai, Office Shifting in Chennai, Household Shifting Service in Chennai, Commercial Shifting in Chennai, Packing Unpacking Service in Chennai, Moving Services in Chennai, Car Moving Services in Chennai, Packers Movers Services in Chennai.
7:11 AM
No comments
TAARIFA KUHUSU UJIO WA MWILI WA MAREHEMU NGWAIR
Taarifa kutoka kwenye kikao cha mazishi ya marehemu Mangwair, zinasema kwamba Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini leo unashughulikia cheti cha kifo na nyaraka nyingine ili kuhakikisha kuwa mwili wa marehemu unaletwa nchini mapema iwezekanavyo. Kama kila kitu kikiwahi na nyaraka zote kupatikana na kufanyiwa kazi mapema, basi mwili huo utasafirishwa leo jioni au mapema kesho (Jumanne).
6:52 AM
No comments
ANAKONDA NI JUNE 14
Msanii Lady Jaydee A.K.A "Anaconda" ametangaza rasmi tarehe yake ya kufanya show ya Miaka13 toka ameanza kufanya muziki kuwa ni siku ya Ijumaa ya Tarehe 14 mwezi Juni, baada ya kuairisha show yake kufuatia kifo cha Msanii Albert Mangwea kilichotokea siku ya tarehe 28 huko Afrika Kusini. Lady Jaydee amesema sababu ya kuchagua siku hiyo ni kwamba siku ya Tarehe 13 Atakwenda Mahakamani kusikiliza Kesi inayomkabili na siku inayofduta itakuwa show ya Miaka kumi na 13 na tarehe 15 atasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Sunday, June 2, 2013
2:04 AM
No comments
Fire Protection Systems Provider In India Call 022 - 23792525 Now
RELIANCE FIRE PROTECTION SYSTEMS is one of Fire Protection Systems Provider In India and it is one-stop destination where you can halt to avail a huge assortment of Commercial & Industrial Fire Protection Systems.
We deals in Fire Protection Systems, Notifier Distributor, Fire Fighting System Installer, Fire Equipment's Fire Alarm System, Fire Contractor, Fire Sprinkler System, Fire Extinguisher, Smoke Detectors and Clean Agent.
For more details visit www.relifire.com or You can call us at 022 - 23792525 / 23731616
Saturday, June 1, 2013
2:10 PM
No comments
packermoveronline.com/packers-and-movers-in-bangalore
http://packermoveronline.com/packers-and-movers-in-bangalore/ PackerMoverOnline.Com is an online platform which is developed and designed to provide our visitors affordable and trustworthy Packers and Movers in Bangalore. We launched this segment by the name of Top 6 Packers Movers, here you'll get trustworthy and affordable packers movers in every particular area where you are searching for. You'll get all information regarding Packers and Movers in Bangalore in just 1 click
PackerMoverOnline.Com is an online platform where you'll get Best, affordable and trustworthy Top 6 Relocation Services in Bangalore providers across India in just 1 click.
Friday, May 31, 2013
6:09 AM
No comments
Packers and Movers in chennai
http://packers-movers-chennai.agarwal-packer-mover.com/ Our Experts help our clients from packing of goods, to loading and transportation of goods, to unloading and unpacking of goods. They understand well that you hire professional services so that your belongings can be transferred to your place.Top 4 Packers and Movers in Chennai provides Packers and Movers in Chennai, Car Transportation Services in Chennai, Car Career Service in Chennai, Relocation Services in Chennai, Cargo Services in Chennai, Movers and Packers in Chennai, Office Shifting in Chennai, Household Shifting Service in Chennai, Commercial Shifting in Chennai, Packing Unpacking Service in Chennai, Moving Services in Chennai, Car Moving Services in Chennai, Packers Movers Services in Chennai.
5:35 AM
No comments
Packers and Movers in Hyderabad
http://packers-movers-hyderabad.agarwal-packer-mover.com/ Our Experts help our clients from packing of goods, to loading and transportation of goods, to unloading and unpacking of goods. They understand well that you hire professional services so that your belongings can be transferred to your place Top 4 Packers and Movers in Hyderabad provides Packers and Movers in Hyderabad, Car Transportation Services in Hyderabad, Car Career Service in Hyderabad, Relocation Services in Hyderabad, Cargo Services in Hyderabad, Movers and Packers in Hyderabad, Office Shifting in Hyderabad, Household Shifting Service in Hyderabad, Commercial Shifting in Hyderabad, Packing Unpacking Service in Hyderabad, Moving Services in Hyderabad, Car Moving Services in Hyderabad, Packers Movers Services in Hyderabad.
Wednesday, May 29, 2013
3:18 AM
No comments
P FUNK AFUNGUKA!!
"SITAKI KUSIKIA NYIMBO ZA NGWEA ZIKIPIGWA CLOUDS FM..WAO NDO WALIOMFANYA AANZE KUVUTA BANGI ILI KUONDOA MAWAZO"...P FUNK.
Sent from my Windows® phone.
Sent from my Windows® phone.
Monday, May 27, 2013
5:36 AM
No comments
http://packers-movers-delhi-ncr.agarwal-packer-mover.com/movers-and-packers-in-delhi.html
http://packers-movers-delhi-ncr.agarwal-packer-mover.com/movers-and-packers-in-delhi.html If you are loo king to moving from one place to another can be daunting and stressful events of life. That's why we are here we have professional who can made much easier and simpler your requirements.
Packers and Movers Delhi Segment provides Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi.
5:10 AM
No comments
http://packers-movers-delhi-ncr.agarwal-packer-mover.com/movers-and-packers-in-delhi.html
http://packers-movers-delhi-ncr.agarwal-packer-mover.com/movers-and-packers-in-delhi.html If you are loo king to moving from one place to another can be daunting and stressful events of life. That's why we are here we have professional who can made much easier and simpler your requirements.
Packers and Movers Delhi Segment provides Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi.
Friday, May 24, 2013
11:41 PM
No comments
KLABU BINGWA ULAYA KUMEKUCHA
Zilikuwa siku na sasa ni masaa machache tu yamebaki ili kutanabai nani ni kinala wa soka Ulaya.
Dortmund au Bayern Munich?, hilo ndilo swali vichwani mwa mashabiki wa soka Duniani kwa sasa.
Jaramba linapigiwa katika uwanja wa Wembley nchini Uingereza, huku vilabu vyote vya uingereza vikiwa nje ya mashindano hayo na kubakia kuwa watazamaji tu siku ya leo.
Fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya kwanza, inahusisha timu mbili kutoka Ujerumani, wachambuzi wa soka wanadai hii ni ishara ya ufanisi wa ligi kuu ya Bundesliga ya kuwekeza katika kukuza vipaji hasa raia wa nchi hiyo.
Takriban wachezaji wote wa timu ya taifa ya Ujerumani, watakuwa uwanjani wakati wachezaji wa Klabu ya Bayern Munich watakapotoana jasho na Borussia Dortmund, katika uwanja wa Wembley, wengi wa wachezaji hao wakiwa wametoka katika vyuo viwili vinavyomilikiwa na vilabu hivyo
Dortmund au Bayern Munich?, hilo ndilo swali vichwani mwa mashabiki wa soka Duniani kwa sasa.
Jaramba linapigiwa katika uwanja wa Wembley nchini Uingereza, huku vilabu vyote vya uingereza vikiwa nje ya mashindano hayo na kubakia kuwa watazamaji tu siku ya leo.
Fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya kwanza, inahusisha timu mbili kutoka Ujerumani, wachambuzi wa soka wanadai hii ni ishara ya ufanisi wa ligi kuu ya Bundesliga ya kuwekeza katika kukuza vipaji hasa raia wa nchi hiyo.
Takriban wachezaji wote wa timu ya taifa ya Ujerumani, watakuwa uwanjani wakati wachezaji wa Klabu ya Bayern Munich watakapotoana jasho na Borussia Dortmund, katika uwanja wa Wembley, wengi wa wachezaji hao wakiwa wametoka katika vyuo viwili vinavyomilikiwa na vilabu hivyo
10:47 PM
No comments
BURIANI CHINUA ACHEBE
Melfu ya waombolezaji walijitokeza kwa mazishi ya mwandishi mashuhuri wa nchi hiyo marehemu Chinua Achebe, katika jimbo la Anambra. Wageni mashuhuri akiwemi, rais Goodluck Jonathan pia hawakuachwa nyuma, Mamia ya watu walikusanyika kanisani baadhi wakivalia mavazi ya kitamaduni yenye picha ya Achebe. Marehemu Achebe alisifika sana kama baba mwanzilishi wa fasihi ya kiingereza barani Afrika. Mwili wa mwandishi mashuhuri wa vitabu barani Afrika Chinua Achebe uliwasili nyumbani kwake katika jimbo la Anambra nchini Nigeria siku ya jumatano.
Hata hivyo, baadhi ya mambo aliyochukizwa nayo ikiwemo vubaraka wa kisiasa na mali wanayojilimbikizia, yalishuhudiwa katika mazishi yake.
Wanasiasa walisindikizwa kanisani na maafisa wa usalama wakiwa na sialaha za kisasa. Baadhi pia waligika wakiwa wamavalia mavazi yenye rangi ya vyama vya kisiasa.
Hafla mbali mbali ziliandaliwa nchini Nigeria kumuenzi bwana Achebe kabla ya mazishi yake kufanyika. Mwandishi huyo mashuhuri alifariki mjini Boston,Marekani, akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Hayati Achebe, anasifika sana kwa kuwa mwanzilishi wa fasihi ya kiafrika kwa kiingereza. Kitabu chake alichokianda cha kwanza, mwaka 1958, 'Things Fall Apart', ambacho kilizungumzia sana athari za ukoloni barani Afrika, aliweza kuuza zaidi ya vitabu milioni kumi. Mwandishi huyo na msomi, aliendelea na uandishi wake na kuandika vitabu vingine 20 baadhi vikikosoa sana wanasiasa na kile alichokitaja kama ukosefu wa uongozi nchini Nigeria. Alikuwa anaishi nchini Marekani tangu mwaka 1990 baada ya ajali ya barabarani kumjeruhi kiasi cha kumlemaza. Makundi ya kitamaduni yalifanya tamasha mbali mbali nje ya uwanja wa ndege wa Enugu, huku ndege iliyokuwa inambeba marehemu Achebe ilipotua. Inaarifiwa kuwa licha ya kuwa watu wana majonzi tele, lakini pia wanasherehekea maisha ya mwandishi huyo. Achebe atazikwa karibu na nyumbani kwa familia yake mjini Ogidi, mji mdogo kwenye vilima vya jimbo la Anambra.
***imeombwa toka bbcswahili****
Hata hivyo, baadhi ya mambo aliyochukizwa nayo ikiwemo vubaraka wa kisiasa na mali wanayojilimbikizia, yalishuhudiwa katika mazishi yake.
Wanasiasa walisindikizwa kanisani na maafisa wa usalama wakiwa na sialaha za kisasa. Baadhi pia waligika wakiwa wamavalia mavazi yenye rangi ya vyama vya kisiasa.
Hafla mbali mbali ziliandaliwa nchini Nigeria kumuenzi bwana Achebe kabla ya mazishi yake kufanyika. Mwandishi huyo mashuhuri alifariki mjini Boston,Marekani, akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Hayati Achebe, anasifika sana kwa kuwa mwanzilishi wa fasihi ya kiafrika kwa kiingereza. Kitabu chake alichokianda cha kwanza, mwaka 1958, 'Things Fall Apart', ambacho kilizungumzia sana athari za ukoloni barani Afrika, aliweza kuuza zaidi ya vitabu milioni kumi. Mwandishi huyo na msomi, aliendelea na uandishi wake na kuandika vitabu vingine 20 baadhi vikikosoa sana wanasiasa na kile alichokitaja kama ukosefu wa uongozi nchini Nigeria. Alikuwa anaishi nchini Marekani tangu mwaka 1990 baada ya ajali ya barabarani kumjeruhi kiasi cha kumlemaza. Makundi ya kitamaduni yalifanya tamasha mbali mbali nje ya uwanja wa ndege wa Enugu, huku ndege iliyokuwa inambeba marehemu Achebe ilipotua. Inaarifiwa kuwa licha ya kuwa watu wana majonzi tele, lakini pia wanasherehekea maisha ya mwandishi huyo. Achebe atazikwa karibu na nyumbani kwa familia yake mjini Ogidi, mji mdogo kwenye vilima vya jimbo la Anambra.
***imeombwa toka bbcswahili****
Monday, May 20, 2013
12:13 PM
No comments
MADRID YASIBITISHA KUONDOKA KWA MOURINHO
Raisi Florentino Perez amethibitishia uma kuwa kocha wa madrid,Jose Mourinho anaachana na kuifundisha timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
Saturday, May 18, 2013
9:33 AM
No comments
Yanga amnyonyoa manyoya Simba!
Dakika 90 zimekwisha, Yanga 2, Simba 0. Hivyo ndivyo Simba alivyokubali kulowa mbele ya Yanga. Kiiza ndiye aliyeizamisha Simba kwa bao la pili katika dakika ya 63, na kuthibitisha kuwa Yanga ndio mabigwa wapya wa ligi kuu Tanzania bara. Ingawaje leo ilikuwa ni siku ya kutimiza ratiba kwani timu ya yanga walikisha utwaa ubigwa mapema.
Friday, May 17, 2013
10:25 AM
No comments
NI YANGA AU SIMBA?
Ikiwa yamebakia masaa kadhaa tu ili kufika ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu zote na mashabiki wa timu za Simba na Yanga za jijini Dar es salaam, ili kujua nani mbabe kati yao. Timu ya Yanga wataingia uwanjani wakiwa na kumbukumbu ya kupigwa mabao 5 kwa sifuri na watani wao hao.
Je nani bingwa? Tuache dakika 90 ziseme hapo kesho majira ya saa kumi alasiri.
Je nani bingwa? Tuache dakika 90 ziseme hapo kesho majira ya saa kumi alasiri.
Thursday, May 16, 2013
1:36 PM
No comments
Harufu ya binadamu ndio huvutia viini vya Malaria
Mbu wanaoambukiza Malaria huvutiwa zaidi na harufu ya mwili wa binadamu kuliko wadudu wengine, kwa mujibu wa utafiti. Watafiti waliochapisha matokeo ya utafiti wao katika jarida la Plos One, wanaamini kuwa Mbu wanaobeba viini vinavyosababisha Malaria, huwa na uwezo mkubwa wa kunusa. Daktari James Logan, kutoka chuo cha mafunzo ya fya mjini London, anasema kuwa moja ya mambo ambayo humshangaza ni ambavyo viini vinakuwa na akili nyingi. Anasema kuwa viini vinaonekana kuwa na akili nyingi kiasi cha kuwa mbele kwa fikira kuliko hata wanasayansi. Miguu yenye kunuka Katika kufanya utafiti wao, wanasayanyi waliwaambukiza Mmbu na viini hatari vya Plasmodium falciparum. Waliwaweka Mmbu hao katika mkebe pamoja na soksi ilyoikuwa inavunda na ambayo ilikuwa imevaliwa kwa masaa ishirini. Mmbu hao walijazana kwenye soksi hiyo Wanasayansi hao walifanya utafiti huo na Mmbu ambao walikuwa hawana viini hivyo. Waligundua kuwa Mmbu waliokuwa na viini waliweza kuvutiwa zaidi na soski zilizokuwa na uvundo. Wanasayansi wanaamini kuwa Mmbu waliokuwa na viini wanakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kunusa kwa sababu viini ndivyo vinawawezesha kunusa zaidi. Kwa Mmbu, binadamu anakuwa rahisi kushambulia kwa sababu ya harufu ya mwili wake na kisha viini hivyo ninavamia damu yake kuhakikisha kuwa vinaendelea kuzaana. Watafiti hao sasa watafanya utafiti wa miaka mitatu kutaka kujua ni vipi viini vina uwezo wa kufanya hivyo. Daktari Logan , anasema kuwa ikiwa wataweza kujua viini vinavyosababisha Malaria, itawasaidia kupambana na ugonjwa wa Malaria. Kulingana na takwimu za hivi karibuni, shirika la afya duniani linasema kuwa mnamo mwaka 2012, takriban watu milioni 219 waliugua Malaria huku wengine 660,000 wakiripotiwa kufariki kutokana na ugonjwa huo. Afrika ndilo bara lenye visa vingi vya watu kuugua Malaria na asilimia tisini ya vifo vinavyotokana na Malaria hutokea barani humo.
Wednesday, May 15, 2013
2:34 PM
No comments
CHELSEA WAIBUKA KIDEDEA
Mbele ya mashabiki 53000, Chelsea imedhihirisha kuwa mbabe wa club ya Benfica toka Ureno, kwa kuichalaza timu hiyo mabao mawili kwa moja. Magoli hayo kwa upande wa Chelsea amefunga Fernando Torres na Ivanovic, huku Cardozo akiipa Benfica bao moja la kufutia machozi.
HOGERA CHELSEA
HOGERA CHELSEA
12:26 PM
No comments
NANI KUIBUKA KINARA LEO KATI YA CHELSEA NA BENFICA?
Katika uwanja wa Amsterdam ArenA, na mpuliza kipenga akiwa ni B.Kuipers huko Ureno leo bingwa wa ligi ya ulaya kujulikana. Chelsea itaingia uwanjani pasipo uwepo wa John Terry na Eden Hazard.
Sunday, May 12, 2013
10:13 AM
No comments
JE WAJUA, HEWA YA UKAA YAONGEZEKA DUNIANI?
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya mwanadamu kipimo cha kiwango cha hewa ya Ukaa kuongezeka na kufikia mia nne kwa milioni moja ya sehemu za dunia. Kwa mujibu wa takwimu za maabala ya serikali ya Marekani huko Hawaii, wamesema kiwango hicho kimekuwa kutokana na sababu mbalimbali. Mara ya mwisho hewa na Ukaa kufikia kiwango cha juu ilikuwa miaka milioni tatu hadi milioni tano iliyopita ambapo ilikuwa chiniya mia nne kwa sehemu milioni moja za dunia(400ppm) Wanasayansi hao wanasema pia kiwango cha joto kimezidi maradufu kuliko miaka iliyopita. Hewa ya Ukaa inatajwa kama gesi inayotengenezwa zaidi na binadamu ambapo imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa uongezekaji wa joto duniani kwa miaka mingi. Wanaharakati wa masuala ya mazingira wamesema hatua hii ni pigo kubwa na kuonyesha wazi madhara ya mabadiliko ya tabia nchi. Lakini wanaharakati hao wanasema vifaa vya kupambana na mabadiliko ya tabia nchi vimeandiliwa na kupambana na tatizo hilo.
By BBC SWAHILI
Sent from my Windows® phone.
By BBC SWAHILI
Sent from my Windows® phone.
Friday, May 10, 2013
11:41 PM
No comments
GOOD MORNING MY FANS
You are anoited by God to live each day in the freedom He intended for you. Don't allow dread's unhealthy expectations to defeat your faith. Instead, overcome the spirit of dread with the supernatural power of God!
Sent from my Windows® phone.
Sent from my Windows® phone.
Wednesday, May 8, 2013
9:59 AM
No comments
BYE BYE FERGUSON
Ikiwa imetimia robo karne tangu aanze kuinoa timu ya Manchester United, The super Coach Sir Alex Ferguson atangaza rasmi kuacha kuifundisha timu hiyo. Ferguson mwenye umri wa miaka 71 aliingia Manchester tangu mwaka 1986 kama kocha wa timu hiyo.
Ferguson tangu aingie katika club ya Man United, ameweza kufanya mengi makubwa ikiwemo kuipatia ushindi wa ligi kuu Man United mara 20.
Wadau wa soka wanahoji, je!? Ni nani ataku Davidwa mrithi wa Ferguson? Maana hapo awali kulikuwa na tetesi za uenda kati ya Jose Morinho, Pep Guardiola, au David Mayes akachukua nafasi hiyo.
Kati yao Mayes ananafasi kubwa kuitwaa nafasi hii hadimu. Ferguson anaachana na kuifundisha Man United na kujiunga na bodi ya club hiyo,na pia kuwa mjumbe wa club.
HONGERA MKUBWA FERGUSON ASANTE SANA FERGUSON
Ferguson tangu aingie katika club ya Man United, ameweza kufanya mengi makubwa ikiwemo kuipatia ushindi wa ligi kuu Man United mara 20.
Wadau wa soka wanahoji, je!? Ni nani ataku Davidwa mrithi wa Ferguson? Maana hapo awali kulikuwa na tetesi za uenda kati ya Jose Morinho, Pep Guardiola, au David Mayes akachukua nafasi hiyo.
Kati yao Mayes ananafasi kubwa kuitwaa nafasi hii hadimu. Ferguson anaachana na kuifundisha Man United na kujiunga na bodi ya club hiyo,na pia kuwa mjumbe wa club.
HONGERA MKUBWA FERGUSON ASANTE SANA FERGUSON
Monday, May 6, 2013
8:59 AM
No comments
DIMOND NA PENNY MAMBO POA!
Msanii anayetikisa kwa sasa katika muziki wa Bongo Flava "Diamond" amezidi kuonesha mapenzi moto moto kwa mpenzi wake mpya "Pennyl". Leo ikiwa ni Birthday yake Penny Diamond ametuma jumbe zenye mashiko ya kimahaba kwa mwenzi wake huyo kupitia mitandao ya facebook na Instagram, mmoja wa ujumbe huu ni huu ulio kwenye picha yao ya pamoja.
BC CREW INAWATAKIA MAHUSIANO MEMA.
BC CREW INAWATAKIA MAHUSIANO MEMA.
Sunday, May 5, 2013
9:23 AM
No comments
MLIPUKO ULIVYOATHIRI KANISA JIJINI ARUSHA
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo huko Arusha katika kanisa katoliki parokia ya Olasisi. Hali hii imetokea asubuhi ya leo na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kujeruhiwa.
Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Magesa, ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwabaini waliosababisha tukio hilo na kuwafikisha katika mikono ya sheria maramoja.
Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Magesa, ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwabaini waliosababisha tukio hilo na kuwafikisha katika mikono ya sheria maramoja.
Saturday, April 27, 2013
1:25 AM
No comments
Liberty Reserve Head Tail Game Play Online
Here You can Play Liberty Reserve Head Tail Game and Can Win LR $ in minutes. Get Winning Amount in Your Liberty Reserve Account within hours. GET 220% of your bet amount.
Thursday, April 25, 2013
11:48 PM
No comments
Packers and Movers in Bangalore
Packers and Movers in Bangalore
http://packers-movers-bangalore.agarwal-packer-mover.com/ Top 4 Packers and Movers in Bangalore is the best Packers and Movers service provider in Bangalore region. Packers and Movers Bangalore rates are very competitive in the market. Packers and Movers Bangalore believe in best service in best rates. Packers and Movers Bangalore first priority job is customer satisfaction. Become a "Best Packers and Movers in Bangalore" is their vision & target is to achieve best in Packers And Movers Services. Packers and Movers Bangalore are giving more focus on customer centricity.
Top 4 Packers and Movers in Bangalore provide you best affordable & trustwordhy packing and moving companies who provide you services for shifting of different kinds of goods such as residential belongings (household goods), commercial commodities, office furniture, office important documents & paper, corporate belongings, and industrial goods. They are providing packing and moving solution for all kinds of goods for a happy and hassle-free experience of shifting Guaranteed.
Thursday, April 18, 2013
1:30 AM
No comments
BIBI KIDUDE'S LIFE STORY
Fatuma binti Baraka (aka Bi Kidude) was a Zanzibar Taarab singer. She is considered the undisputed queen of Taarab and Unyago music and is also a protégé of Siti binti Saad Bi Kidude was born in the village of Mfagimaringo, she was the daughter of a coconut seller in colonial Zanzibar. Bi Kidude's exact date of birth is unknown, much of her life story is uncorroborated, giving her an almost mythical status.
In 2005 Bi Kidude received the prestigious Womex award for her outstanding contribution to music and culture in Zanzibar. She died on 17 April 2013.
EARLY LIFE OF THE LATE BIBI KIDUDE
As a child, she was singled out for her fine voice and, in the 1920s, sang locally with popular cultural troupes, combining an understanding of music with an equally important initiation into traditional medicine. At age 13, after a forced marriage, she fled Zanzibar to mainland Tanzania. Bi Kidude toured mainland East Africa with a taarab ensemble, visiting the major coastal towns and inland as far west as Lake Victoria and Tanganyika . She walked the length and the breadth of the country barefoot in the early 1930s, fleeing another unhappy marriage. In the 1930s, she ended up in Dar es Salaam, where she sang with Egyptian Taarab group for many years. In the 1940s, she returned to Zanzibar, where she acquired a small mud hut to be her home. She is known for her role in the Unyago movement which prepares young Swahili women for their transition through puberty. She is one of the experts of this ancient ritual, performed only to teenage girls, which uses traditional rhythms to teach women to pleasure their husbands, while lecturing against the dangers of sexual abuse and oppression. Bi Kidude died on 17 April 2013.With the assistance of Wikipedia
Wednesday, April 17, 2013
3:35 AM
No comments
BIBI KIDUDE AFARIKI DUNIA
Msanii nguli wa Muziki wa Taarabu Tanzania, Fatuma binti Baraka maarufu kama Bibi Kidude amefariki dunia leo. Msanii huyu ambaye alikuwa anapatiwa matibabu katika Hospital ya Hindu Mandal huko Zanzabar. Bibi Kidude atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika sanaa ya Muziki Tanzania na hata kuitangaza Tanzania nchi za nje henzi za uhai wake. R.I.P Bibi kidude!!!
Friday, April 5, 2013
8:37 PM
No comments
1000$ Google Adwords Account
Price of this account is 12000 INR only.You can do payment via netbanking or cash deposit and we accept liberty reserve payment also.
for more details call us at +91-9136075049 / 8586875020 .You can mail us at ceo@speakmeme.com
Skype id is speakmeme
More details visit http://choicedelhi.in/contact-us/
Thursday, March 7, 2013
1:51 AM
No comments
Google Adwords Activated Accounts For USA
DLL Incorporation is providing Google Adwords Activated Accounts with 100$ balance For USA. You Do not to Spend any 25% or 25$. Just create Ad and start it.
It will work with USA IP only. and Price of each account is 20 US$ only . Bulk price would be moderated.
For more details call us at 09136075049 or call us on skype id speakmeme or you can mail us at ceo@speakmeme.com
Tuesday, February 19, 2013
12:38 AM
No comments
Packers and Movers in Hyderabad
Thursday, February 14, 2013
12:48 PM
No comments
Movers and Packers Bangalore
http://packermoveronline.com/packers-and-movers-in-bangalore/ is an online platform which is developed and designed to provide our visitors affordable and trustworthy Packers and Movers in Bangalore. We launched this segment by the name of Top 6 Packers Movers, here you'll get trustworthy and affordable packers movers in every particular area where you are searching for. You'll get all information regarding Packers and Movers in Bangalore in just 1 click.
Packers and Movers in Bangalore, Movers and Packers Bangalore, Packing Moving Services in Bangalore, Office Shifting Services in Bangalore, Movers and Packers in Bangalore, Household Shifting Services in Bangalore, Car Transportation Services in Bangalore, Packers and Movers Bangalore, Relocation Services in Bangalore, Car Movers in Bangalore, Car Carrier Services in Bangalore.
Wednesday, February 13, 2013
10:49 PM
No comments
HAPPY VALENTINE'S DAY BONGO CORNER FANS!!
Bongo Corner Crew inawatakia furaha tele ya maandalizi ya siku ya wapendanao duniani Fans wote. Bongo Corner inakuomba ukadumishe upendo kwa yule umpendae na ukamsamehe yule uliyemkosea. Tunawapenda sanaaaaaaaaaaaaaaa!
Saturday, February 2, 2013
5:38 PM
No comments
PPF TOWER YAWAKA MOTO
Jengo la ppf lililopo Posta Dar es salaam linawaka moto mda huu. Jambo la kushangaza kikosi cha zima moto kimepigwa na butwaa baada ya kukosa vifaa vya kuzimia moto magorofa marefu.
JPM
JPM
Saturday, January 19, 2013
11:37 PM
No comments
NYIMBO MPYA KWA WAPENDANAO!
|
11:00 PM
No comments
| NI MTAZAMO TU!! Zisikilize hisia zako zinataka nini,kama ni kitu chema zitendee haki hisia zako ili uwe na amani moyoni.Kwani hisia zako ni kama malaika wako anaye kuongoza.Isitoshe lawama sio mzigo kwa hali ilivyo sasa,sababu kila mtu anatafuta amani moyoni.by Vitus |
12:03 AM
No comments
How to Make Make Money With Blogging Download Free E-book Now
Hello Friends
I am introducing an E-book for Making Money through Blogging.In This E-book I have mentioned the way of making money Online through Blogging. You can get unlimited traffic by this method and can make at-least 250$ per day. Below is download link you can download it free of cost. DOWNLOAD THE E-BOOK or Visit on this link http://www.visitorvia.com/3RAXtu
Thursday, January 17, 2013
10:16 AM
No comments
Packers and Movers in Delhi
Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com/Movers-and-Packers-in-Delhi.html We provide you best affordable & trustworthy packing and moving companies who provide you services for shifting of different kinds of goods such as residential belongings (household goods), commercial commodities, office furniture, office important documents & paper, corporate belongings, and industrial goods.
Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com provides Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi.
Wednesday, January 16, 2013
6:12 AM
No comments
Facebook Activated Account With 1000$
DLL Incorporation is providing Facebook Activated Account With 1000$ only in 260$ . Bulk price could be reduced more. Its a fully activated account working.Account delivery within 4 hours of payment payment mode LR or paypal or NEFT.
LIMITED OFFER HURRY NOW . GET FREE GUIDANCE ON SKYPE SPEAKMEME
For more details buzz us on Skype Speakmeme . OR call at +91-9136075049 Visit http://choicedelhi.in/contact-us/
Tuesday, January 15, 2013
9:05 AM
No comments
Packers and Movers in Delhi
Friday, January 4, 2013
2:47 PM
No comments
MHESHIMIWA RAISI PIA ALIKUWEPO KATIKA MAZISHI
Katika kuonesha yu pamoja na wasanii wa nyumbani Tanzania, raisi wa jamuhuli ya muungano ya Tanzania mheshimiwa Kikwete alikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria mazishi ya Sajuki. Katika makaburi ya Kisutu Raisi Kikwete alionesha uwepo wake kwa kuweka mchanga kaburini kama ishara ya kumuaga mpendwa Sajuki, "Juma Kilowoko".
Raisi Jakaya alikuwa ni msaada mkubwa katika matibabu ya marehemu Sajuki aliyokuwa akiyapokea pale katika hospitali ya taifa Muhimbili mpaka umahuti ulipo mfika.
Raisi Jakaya alikuwa ni msaada mkubwa katika matibabu ya marehemu Sajuki aliyokuwa akiyapokea pale katika hospitali ya taifa Muhimbili mpaka umahuti ulipo mfika.
"Mungu ailaze roho ya ndugu yetu Sajuki mahala pema peponi Amen!"
Wednesday, January 2, 2013
4:33 AM
No comments
MVUA YAFUNGA BARABARA MOROGORO
Ni mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro na kusababisha magari kupita kwa tabu. Hali hii imetokea maeneo ya Ubena jioni ya saa kumi na mbili.
JPM
4:32 AM
No comments
SAJUKI AFARIKI DUNIA
Msanii wa Bongo Movie afahamikaye kama Sajuki 'Juma Kilowoko' leo asubuhi amepatwa na umauti katika hospital ya taifa Muhimbili.
"Sajuki amepatwa na umauti kutokana na tatizo la upungufu wa damu ambalo lilikuwa linamsumbua muda mrefu na Muhimbili ndiko alikokuwa anapata matibabu yake"
"Sajuki amepatwa na umauti kutokana na tatizo la upungufu wa damu ambalo lilikuwa linamsumbua muda mrefu na Muhimbili ndiko alikokuwa anapata matibabu yake"
JPM






































.jpg)