KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Saturday, September 29, 2012

SEO Services Company


guaranteed seo, website optimization, seo internet marketing, search engine marketing, seo company, seo packages, google search optimization
Advertising Host SEO Company: Organic search is best for genuine leads and business, If you are really serious for long term business with search engines then Search engine optimization ( Website promotion) is a fruitful and best option.
SEO India, Wwebsite SEO, SEO Services, SEO Service, Website Promotion, SEO Companies, Best SEO Company, Cheap SEO, SEO Package, Guaranteed SEO, Website Optimization, SEO Internet Marketing, Search Engine Marketing, SEO Company, SEO Packages, Google Search Optimization, Cheap SEO Services, Google Promotion Services, Affordable Search Engine Optimization, Search Engine Optimization India, Website Optimization Company, Off Page SEO.
For more information visit Www.Advertising-Host.Com

Friday, September 28, 2012

SEO Services Company India


ADVERTISING HOST: SEO is the active practice of optimizing a web site by improving internal and external aspects in order to increase the traffic the site receives from search engines. Firms that practice SEO can vary; some havea highly specialized focus while others take a more broad and general approach. 
SEO Service, Website SEO, Best SEO Service, Affordable SEO Services, Cheap SEO, Professional SEO Services, SEO for Website, SEO India, Website Promotion, SEO Packages, SEO Company, SEO Promotion, SEO Firm, Google SEO, SEO Cost, SEO Experts
For More Information visit WWW.Advertising-Host.Com

what is seo, seo for website, google seo, seo consulting, internet marketing seo

Packers Movers Delhi


Agarwal-Packer-Mover.Com Delhi is a leading online platform for Service Seekers & Service Provider in Packers and Movers industry. We have wide network of Packers and Movers across the India.
Packers and Movers Delhi, Movers and Packers Delhi, Packers and Movers in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Relocation Services Delhi, Car Carrier Delhi, Car Transportation Delhi, Car Movers Delhi, Household Shifting Services Delhi, Packers in Delhi, Movers in Delhi, Packers Movers Delhi, Movers Packers Delhi, Delhi Packers and Movers, Delhi Movers and Packers, Delhi Packers, Delhi Movers.

Sunday, September 23, 2012

Taxi Service in Punjab

Tourtraveltourism.com is leader in Taxi Service Punjab. Cab Punjab, Cab in Punjab, Cabs Punjab, Cabs in Punjab, Book  Taxi Punjab, Taxi in Punjab, Taxi service in Punjab.
Book taxi with our online booking services at cheap rate.we also provides taxi, radio taxi Punjab etc.

Friday, September 21, 2012

AUNT EZEKIEL KWA JUKWAA NDANI YA FIESTA 2012

 Aunt Ezekiel amwaga radhi jukwaani katika matembezi ya Fiesta 2012. Haya kazi na dawa wajameniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. But tucheki na vivazi vyetuuuu!


ADWORDS VOUCHER INDIAN CALL 9136075049

GET ADWORDS COUPON | BING COUPON | FACEBOOK COUPON AND RUN YOUR ADS ON ADWORDS BY US ON VERY AFFORDABLE PRICE.

100$ ADWORDS COUPON WITH ONE YEAR VALIDITY PRICE IS 200 INR or 4$ . FACEBOOK 50$ PRICE IS 400 INR or 8$. BING 200$ CODE IS IN 300 INR OR 6$. RUN YOUR AD ON ADWORDS WITH 100$ BALANCE ONLY IN 1000 INR or 20$.

SEO FOR ONE MONTH WITH 25 KEYWORDS ON TOP OF GOOGLE WITH GUARANTEE ONLY IN 10000 INR PER MONTH.

CONTACT US AT +91-9136075049 /8586875020 . SKYPE- SPEAKMEME EMAIL US AT ceo@speakmeme.com 

FOR ALL PACKAGE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in


Tuesday, September 4, 2012

RATIBA YA MECHI ZA BARCLAYS PREMIER LEAGUE WEEKEND HII


SATURDAY 15 SEPTEMBER 2012


Norwich
v
West Ham
Carrow Road
13:45
QPR
v
Chelsea
Loftus Road Stadium
16:00
Man Utd
v
Wigan
Old Trafford
16:00
Aston Villa
v
Swansea
Villa Park
16:00
Stoke
v
Man City
Britannia Stadium
16:00
Fulham
v
West Brom
Craven Cottage
16:00
Arsenal
v
Southampton
Emirates Stadium
16:00
Sunderland
v
Liverpool
Stadium of Light
18:30


SUNDAY 16 SEPTEMBER 2012

Reading
v
Tottenham
Madejski Stadium
17:00


MONDAY 17 SEPTEMBER 2012

Everton
v
Newcastle
Goodison Park
21:00

Sunday, August 19, 2012

NAWATAKIENI NYOTE SIKU KUU NJEMA YA IDD!

Hii ni kwa wale wote mafans wa Bongo Corner yaaaani Eid Mubarak! Na tusherehekee vyema sikuku yetu na tena kwa amani na Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema hawalinde katika kusherehekea sikukuu!

BC Crew

Saturday, August 18, 2012

KICHUPA CHA OMMY DIMPOZI - BAADAE CHAPIGIWA SOUTH AFRIKA

Ili kukiweka kichupa vizuri zaidi msanii Ommy Dimpoz ameamua kwenda kukitengenezea pande za kwa Madiba. Hebu chungulia shughuli mzima inavyofanyika pande zile. Hekko Dimpoz!

MB DOG ATUMBIKIA KATIKA FILAMU SASA


ARSENAL,SUNDERLAND WACHOSHANA NGUVU KATIKA EPL 2012/13

Mshikemshike ndani ya uwanja wa Emirates jijini London kati ya Arsenal na Sunderland umeisha kwa timu zote mbili kuishia kuchoshana nguvu kwa kutoka na sale ya bila kwa bila. Mchezo huu mmoja wapo wa ufunguzi wa michuano ya ligi kuu Uingereza, umeshuhudiwa na mashabiki wapatao 60078 na kuchezeshwa na refalii C, Foy.
Na huko katika viwanja vingine Fulham kampiga Norwich City mabao matano(5) kwa sifuri(0) mchezo uliochezwa katika uwanja wa Craven Cottage, Swansea City imempiga QPR mabao matano kwa sifuri, mchezo uliochezwa uwanja wa Loftus Road. Stock City nae katoka na Reading mojamoja. Liverpool kachapika mabao matatu(3) kwa sifuri (0) toka kwa West Bromwhich na West Ham imempiga Aston Villa bao moja katika uwanja wa Boleyn.

ANICHEBE AND WELBECK THRILL FANS IN MANCHESTER

Joining Scudamore at the launch were Manchester United forward Danny Welbeck and Everton forward Victor Anichebe and together they held a question-and-answer with Sky Sports News Jeff Stelling.
Anichebe echoed the felling of fans all over the world in revealing that he could not wait for the season to start, even if both he and Welbeck need to wait longer than others because their match takes place on Monday.
"We do feel that sense of excitement the fans feel," Anichebe told premierleague.com. "As kids you grow up wanting to play football and that doesn’t go away.
"Pre-season is such a long time and we are all dying to get out of that mode and get back to playing competitive games.
"We are all blessed. We all know how much of a good thing it is to be in the Premier League. It’s a great League. You hear players from all over the world saying that they want to come here so we are ever so grateful to be involved in it.”

Welbeck and Anichebe also entertained the supporters who came to City Hall for the first Barclays Premier League Trophy Tour of the United Kingdom by trying out the latest version of the FIFA 13 game, much to the amusement of the fans, who also had the opportunity to try out the game as well as measure up against the Barclays Premier League’s tallest defenders and have their pictures taken inside an oversized Match Attax card.

RICHARD SCUDANORE: NEW SEASON SET FOR MORE THRILLS AND SPILLS

"Almost three months to the day that the most exciting season in the history of the Premier League was settled in dramatic fashion, the latest campaign is upon us this weekend and Premier League chief executive Richard Scudamore promises that there will be more thrills and spills."
Be ready for the EPL 2012/13 campaigns this weekend!

Friday, August 17, 2012

YANGA YAWASILISHA USAJILI TFF

Young Africans imewasilisha jumla ya majina ya wachezaji 28 kwa shirikisho la soka nchini TFF, kwa ajili ya msimu mpya wa ligi kuu nchini inayotazamiwa kuanza mapema septemba mosi.
 Katibu mkuu wa Young Africans Mwesigwa Selestine amesema wamepeleka majina ya wachezaji wote 28 kwa ajili ya msimu mpya wa ligi kuu, na hii ni kutokana na benchi la ufundi kuridhia kuwatumia wachezaji wote.
  Aidha katika usajili huo uliowasilishwa leo, umeambatana na usajili wa wachezaji wa timu ya vijana U-20 ambapo majina ya wachezaji mahiri wa timu ya Taifa Saimon Msuva na Frank Domayo.
 Usajili kamili kwa timu ya wakubwa ni kama ifuatavyo:

Walinda Mlango:

Yaw Berko, Ally Mustafa 'Barthez' na Said Mohamed

Walinzi wa pemebeni:

Shadrack Nsajigwa, Godfrey Taita, Juma Abdul, Oscar Joshua, David Luhende na Stephano Mwasika

Walinzi wa kati:

Nadir Haroub 'Cannavaro', Kelvin Yondan, Mbuyu Twite, Ibrahim Job na Ladislaus Mbogo

Viungo wa ulinzi:

Athuman Idd 'Chuji', Juma Seif Kijiko na Salum Telela

Viungo wa pembeni:

Nizar Khalfani, Shamte Ally, Idrisa Rashid na Omega Seme

Viungo washambuliaji:

Haruna Niyonzima, Rashid Gumbo na Nurdin Bakari

Washambuliaji:

Said Bhanaunzi, Hamis Kiiza 'Diego', Didier Kavambagu na Jeryson Tegete

Majina hayo yanakamilisha jumla ya 28 ya wachezaji kwa timu ya wakubwa.

Kikosi cha U-20 kina jumla ya majina 22 ambao ni:

Walinda Mlango: Geofrey Nyalusi na Yusuf Abdul

Walinzi: Said Manduta, Zuberi Juma, Said Mashaka, Benson Michael, Issa Ngao, Rashid Said

Viungo: Frank Domayo, Omary Nasry, Clever Charles, Mwinyi Bakari, Mpenda Abdallah

Washambuliaji wa pembeni: Abdulahman Ally, Hussein Moshi, Abdallah Salum, Rehani Kibingu

Washambuliaji: Saimon Msuva, George Banda, Notikely Masasi, Suleiman Ussi, Kassim Jongo

NB: Frank Domayo & Saimon Msuva usajili wao umepelekwa katika usajili wa U-20 lakini wataitumikia timu ya wakubwa.

info toka Klabu ya Yanga TZ

UNITED REVEL SHIRT NUMBERS


There is confirmation of the numbers for new signings Robin van Persie (20), Shinji Kagawa (26) and Nick Powell (25) while Antonio Valencia has moved into the famed No7 jersey vacated by Michael Owen.
Rafael takes the No2 slot, the traditional number for a right-back, Tyler Blackett has been handed the shirt previously occupied by Paul Pogba and Anders Lindegaard replaces Ji-sung Park at No13.
Darren Fletcher is registered as he continues to battle against ulcerative colitis in his bid for a return to first-team action.
Squad numbers: 1: De Gea (GK), 2: Rafael, 3: Evra, 4: Jones, 5: Ferdinand, 6: Evans, 7: Valencia, 8: Anderson, 9: Berbatov, 10: Rooney, 11: Giggs, 12: Smalling, 13: Lindegaard (GK), 14: Chicharito, 15: Vidic, 16: Carrick, 17: Nani, 18: Young, 19: Welbeck, 20: Van Persie, 22: Scholes, 23: Cleverley, 24: Fletcher, 25: Powell, 26: Kagawa, 27: Macheda, 31: Wootton, 33: Bebe, 34: Cole, 35: Lingard, 36: Vermijl, 37: Brady, 38: M.Keane, 39: Thorpe, 41: King, 42: Blackett, 45: Petrucci, 46: Tunnicliffe, 48: W.Keane, 49: Veseli, 50: Johnstone (GK).

Thursday, August 16, 2012

WENGER SAID; ARSENAL HAD NO CHOISE BUT TO SELL VAN PERSIE TO OLD TRAFFORD

Arsene Wenger claims he had no option but to accept Manchester United's bid for Robin Van Persie, with the striker in the final year of his contract.
Van Persie announced his intention to leave Arsenal last month after being disillusioned with future plans for the club, and Wenger told TF1 the club had “no choice” but to cash in or run the risk of losing the striker for nothing next summer.
"It's sad to lose a player of his quality. He had a year left on his contract so we didn't have the choice." he said.

VAN PERSIE ATUA KATIKA KLABU YAKE MPYA YA MANCHESTER UNITED

Umekuwa ni kama mzimu unaoendelea kuitafuna timu ya Arsenal ndani ya miaka saba sasa tangu mwaka 2005. Klabu ya Arsenal mpaka sasa imeshawauza majembe yake ya kutegemewa kama, Patrick Vieira, Thierry Henry, Cesc Fabregas na sasa Van Persie.
Van Persie ni mchezaji pekee toka Arsenal kuweka uelekeo wake kuwa klabu ya Manchester. Haitasahaulika kuwa Wenger na Ferguson ni mahasimu wakubwa katika jiji la London, lakini hii leo wanafanya bihashara pasipo shida. Van Persie amenunuliwa kwa kiasi cha euro milioni 30, kuichezea Man United kwa mkataba wa miaka minne kama alivyosema bosi wa Arsenal, Arsene Wenger. Kazi kwenu Man United!

BC Crew

Tuesday, August 14, 2012

JUST A FRIEND!!!

BC Crew

Friday, August 10, 2012

MKENYA AVUNJA REKODI OLYMPIC 2012

Kwa majina anaitwa Rudisha David Lekuta amefanikiwa kuvunja rekodi iliyowahi kuwekwa na mwanaliadha Seb Coe katika umbali wa mita 800. Rudisha amefanikiwa kumaliza mbio hizo ndani ya 1.40.91 na kufanikiwa kurudisha medali ya dhahabu nyumbani. Mpaka sasa Kenya  wanamedali za dhahabu mbili, Silva mbili na Shaba tatu, hongera Kenya!