Producer AK na Vitus katika pozi
Producer AK Bunduki akiwa katika pozi pande za White Sand Resort na Msanii anaye kuja kwa kasi katika Game hii ya muziki ya Bongo flava. Pata kujua mengi kuhusu ujio wa msanii huyu katika game hii na mengine mengi kupitia site yako hii ya Bongo Corn...
Wednesday, November 30, 2011
Sunday, November 20, 2011
6:50 AM
No comments

Stereo msanii wa hiphop Tanzania anayekuja kwa kasi katika sanaa hii ya muziki. Pata kujua mwana anafanya nini kwa sasa na je anazungumziaje game ya mziki kwa ujumla. Haya yote utayapata hapahapa Bongo Corner kupitia Page yetu ya Interview. Kaa mkao wa kula mdau pamoja sana mpaka mwaka sifuriiiiiiiiiiiiii. By n2c gr...