Dakika 90 zimekwisha, Yanga 2, Simba 0. Hivyo ndivyo Simba alivyokubali kulowa mbele ya Yanga. Kiiza ndiye aliyeizamisha Simba kwa bao la pili katika dakika ya 63, na kuthibitisha kuwa Yanga ndio mabigwa wapya wa ligi kuu Tanzania bara. Ingawaje leo ilikuwa ni siku ya kutimiza ratiba kwani timu ya yanga walikisha utwaa ubigwa mapema.
KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP
Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More
Saturday, May 18, 2013
Friday, May 17, 2013
10:25 AM
No comments
NI YANGA AU SIMBA?
Ikiwa yamebakia masaa kadhaa tu ili kufika ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu zote na mashabiki wa timu za Simba na Yanga za jijini Dar es salaam, ili kujua nani mbabe kati yao. Timu ya Yanga wataingia uwanjani wakiwa na kumbukumbu ya kupigwa mabao 5 kwa sifuri na watani wao hao.
Je nani bingwa? Tuache dakika 90 ziseme hapo kesho majira ya saa kumi alasiri.
Je nani bingwa? Tuache dakika 90 ziseme hapo kesho majira ya saa kumi alasiri.
Thursday, May 16, 2013
1:36 PM
No comments
Harufu ya binadamu ndio huvutia viini vya Malaria
Mbu wanaoambukiza Malaria huvutiwa zaidi na harufu ya mwili wa binadamu kuliko wadudu wengine, kwa mujibu wa utafiti. Watafiti waliochapisha matokeo ya utafiti wao katika jarida la Plos One, wanaamini kuwa Mbu wanaobeba viini vinavyosababisha Malaria, huwa na uwezo mkubwa wa kunusa. Daktari James Logan, kutoka chuo cha mafunzo ya fya mjini London, anasema kuwa moja ya mambo ambayo humshangaza ni ambavyo viini vinakuwa na akili nyingi. Anasema kuwa viini vinaonekana kuwa na akili nyingi kiasi cha kuwa mbele kwa fikira kuliko hata wanasayansi. Miguu yenye kunuka Katika kufanya utafiti wao, wanasayanyi waliwaambukiza Mmbu na viini hatari vya Plasmodium falciparum. Waliwaweka Mmbu hao katika mkebe pamoja na soksi ilyoikuwa inavunda na ambayo ilikuwa imevaliwa kwa masaa ishirini. Mmbu hao walijazana kwenye soksi hiyo Wanasayansi hao walifanya utafiti huo na Mmbu ambao walikuwa hawana viini hivyo. Waligundua kuwa Mmbu waliokuwa na viini waliweza kuvutiwa zaidi na soski zilizokuwa na uvundo. Wanasayansi wanaamini kuwa Mmbu waliokuwa na viini wanakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kunusa kwa sababu viini ndivyo vinawawezesha kunusa zaidi. Kwa Mmbu, binadamu anakuwa rahisi kushambulia kwa sababu ya harufu ya mwili wake na kisha viini hivyo ninavamia damu yake kuhakikisha kuwa vinaendelea kuzaana. Watafiti hao sasa watafanya utafiti wa miaka mitatu kutaka kujua ni vipi viini vina uwezo wa kufanya hivyo. Daktari Logan , anasema kuwa ikiwa wataweza kujua viini vinavyosababisha Malaria, itawasaidia kupambana na ugonjwa wa Malaria. Kulingana na takwimu za hivi karibuni, shirika la afya duniani linasema kuwa mnamo mwaka 2012, takriban watu milioni 219 waliugua Malaria huku wengine 660,000 wakiripotiwa kufariki kutokana na ugonjwa huo. Afrika ndilo bara lenye visa vingi vya watu kuugua Malaria na asilimia tisini ya vifo vinavyotokana na Malaria hutokea barani humo.
Wednesday, May 15, 2013
2:34 PM
No comments
CHELSEA WAIBUKA KIDEDEA
Mbele ya mashabiki 53000, Chelsea imedhihirisha kuwa mbabe wa club ya Benfica toka Ureno, kwa kuichalaza timu hiyo mabao mawili kwa moja. Magoli hayo kwa upande wa Chelsea amefunga Fernando Torres na Ivanovic, huku Cardozo akiipa Benfica bao moja la kufutia machozi.
HOGERA CHELSEA
HOGERA CHELSEA
12:26 PM
No comments
NANI KUIBUKA KINARA LEO KATI YA CHELSEA NA BENFICA?
Katika uwanja wa Amsterdam ArenA, na mpuliza kipenga akiwa ni B.Kuipers huko Ureno leo bingwa wa ligi ya ulaya kujulikana. Chelsea itaingia uwanjani pasipo uwepo wa John Terry na Eden Hazard.
Sunday, May 12, 2013
10:13 AM
No comments
JE WAJUA, HEWA YA UKAA YAONGEZEKA DUNIANI?
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya mwanadamu kipimo cha kiwango cha hewa ya Ukaa kuongezeka na kufikia mia nne kwa milioni moja ya sehemu za dunia. Kwa mujibu wa takwimu za maabala ya serikali ya Marekani huko Hawaii, wamesema kiwango hicho kimekuwa kutokana na sababu mbalimbali. Mara ya mwisho hewa na Ukaa kufikia kiwango cha juu ilikuwa miaka milioni tatu hadi milioni tano iliyopita ambapo ilikuwa chiniya mia nne kwa sehemu milioni moja za dunia(400ppm) Wanasayansi hao wanasema pia kiwango cha joto kimezidi maradufu kuliko miaka iliyopita. Hewa ya Ukaa inatajwa kama gesi inayotengenezwa zaidi na binadamu ambapo imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa uongezekaji wa joto duniani kwa miaka mingi. Wanaharakati wa masuala ya mazingira wamesema hatua hii ni pigo kubwa na kuonyesha wazi madhara ya mabadiliko ya tabia nchi. Lakini wanaharakati hao wanasema vifaa vya kupambana na mabadiliko ya tabia nchi vimeandiliwa na kupambana na tatizo hilo.
By BBC SWAHILI
Sent from my Windows® phone.
By BBC SWAHILI
Sent from my Windows® phone.
Friday, May 10, 2013
11:41 PM
No comments
GOOD MORNING MY FANS
You are anoited by God to live each day in the freedom He intended for you. Don't allow dread's unhealthy expectations to defeat your faith. Instead, overcome the spirit of dread with the supernatural power of God!
Sent from my Windows® phone.
Sent from my Windows® phone.
Wednesday, May 8, 2013
9:59 AM
No comments
BYE BYE FERGUSON
Ikiwa imetimia robo karne tangu aanze kuinoa timu ya Manchester United, The super Coach Sir Alex Ferguson atangaza rasmi kuacha kuifundisha timu hiyo. Ferguson mwenye umri wa miaka 71 aliingia Manchester tangu mwaka 1986 kama kocha wa timu hiyo.
Ferguson tangu aingie katika club ya Man United, ameweza kufanya mengi makubwa ikiwemo kuipatia ushindi wa ligi kuu Man United mara 20.
Wadau wa soka wanahoji, je!? Ni nani ataku Davidwa mrithi wa Ferguson? Maana hapo awali kulikuwa na tetesi za uenda kati ya Jose Morinho, Pep Guardiola, au David Mayes akachukua nafasi hiyo.
Kati yao Mayes ananafasi kubwa kuitwaa nafasi hii hadimu. Ferguson anaachana na kuifundisha Man United na kujiunga na bodi ya club hiyo,na pia kuwa mjumbe wa club.
HONGERA MKUBWA FERGUSON ASANTE SANA FERGUSON
Ferguson tangu aingie katika club ya Man United, ameweza kufanya mengi makubwa ikiwemo kuipatia ushindi wa ligi kuu Man United mara 20.
Wadau wa soka wanahoji, je!? Ni nani ataku Davidwa mrithi wa Ferguson? Maana hapo awali kulikuwa na tetesi za uenda kati ya Jose Morinho, Pep Guardiola, au David Mayes akachukua nafasi hiyo.
Kati yao Mayes ananafasi kubwa kuitwaa nafasi hii hadimu. Ferguson anaachana na kuifundisha Man United na kujiunga na bodi ya club hiyo,na pia kuwa mjumbe wa club.
HONGERA MKUBWA FERGUSON ASANTE SANA FERGUSON
Monday, May 6, 2013
8:59 AM
No comments
DIMOND NA PENNY MAMBO POA!
Msanii anayetikisa kwa sasa katika muziki wa Bongo Flava "Diamond" amezidi kuonesha mapenzi moto moto kwa mpenzi wake mpya "Pennyl". Leo ikiwa ni Birthday yake Penny Diamond ametuma jumbe zenye mashiko ya kimahaba kwa mwenzi wake huyo kupitia mitandao ya facebook na Instagram, mmoja wa ujumbe huu ni huu ulio kwenye picha yao ya pamoja.
BC CREW INAWATAKIA MAHUSIANO MEMA.
BC CREW INAWATAKIA MAHUSIANO MEMA.
Sunday, May 5, 2013
9:23 AM
No comments
MLIPUKO ULIVYOATHIRI KANISA JIJINI ARUSHA
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa leo huko Arusha katika kanisa katoliki parokia ya Olasisi. Hali hii imetokea asubuhi ya leo na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kujeruhiwa.
Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Magesa, ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwabaini waliosababisha tukio hilo na kuwafikisha katika mikono ya sheria maramoja.
Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Magesa, ameliagiza jeshi la polisi mkoani humo kuwabaini waliosababisha tukio hilo na kuwafikisha katika mikono ya sheria maramoja.
Saturday, April 27, 2013
1:25 AM
No comments
Liberty Reserve Head Tail Game Play Online
Here You can Play Liberty Reserve Head Tail Game and Can Win LR $ in minutes. Get Winning Amount in Your Liberty Reserve Account within hours. GET 220% of your bet amount.
Thursday, April 25, 2013
11:48 PM
No comments
Packers and Movers in Bangalore
Packers and Movers in Bangalore
http://packers-movers-bangalore.agarwal-packer-mover.com/ Top 4 Packers and Movers in Bangalore is the best Packers and Movers service provider in Bangalore region. Packers and Movers Bangalore rates are very competitive in the market. Packers and Movers Bangalore believe in best service in best rates. Packers and Movers Bangalore first priority job is customer satisfaction. Become a "Best Packers and Movers in Bangalore" is their vision & target is to achieve best in Packers And Movers Services. Packers and Movers Bangalore are giving more focus on customer centricity.
Top 4 Packers and Movers in Bangalore provide you best affordable & trustwordhy packing and moving companies who provide you services for shifting of different kinds of goods such as residential belongings (household goods), commercial commodities, office furniture, office important documents & paper, corporate belongings, and industrial goods. They are providing packing and moving solution for all kinds of goods for a happy and hassle-free experience of shifting Guaranteed.
Thursday, April 18, 2013
1:30 AM
No comments
BIBI KIDUDE'S LIFE STORY
Fatuma binti Baraka (aka Bi Kidude) was a Zanzibar Taarab singer. She is considered the undisputed queen of Taarab and Unyago music and is also a protégé of Siti binti Saad Bi Kidude was born in the village of Mfagimaringo, she was the daughter of a coconut seller in colonial Zanzibar. Bi Kidude's exact date of birth is unknown, much of her life story is uncorroborated, giving her an almost mythical status.
In 2005 Bi Kidude received the prestigious Womex award for her outstanding contribution to music and culture in Zanzibar. She died on 17 April 2013.
EARLY LIFE OF THE LATE BIBI KIDUDE
As a child, she was singled out for her fine voice and, in the 1920s, sang locally with popular cultural troupes, combining an understanding of music with an equally important initiation into traditional medicine. At age 13, after a forced marriage, she fled Zanzibar to mainland Tanzania. Bi Kidude toured mainland East Africa with a taarab ensemble, visiting the major coastal towns and inland as far west as Lake Victoria and Tanganyika . She walked the length and the breadth of the country barefoot in the early 1930s, fleeing another unhappy marriage. In the 1930s, she ended up in Dar es Salaam, where she sang with Egyptian Taarab group for many years. In the 1940s, she returned to Zanzibar, where she acquired a small mud hut to be her home. She is known for her role in the Unyago movement which prepares young Swahili women for their transition through puberty. She is one of the experts of this ancient ritual, performed only to teenage girls, which uses traditional rhythms to teach women to pleasure their husbands, while lecturing against the dangers of sexual abuse and oppression. Bi Kidude died on 17 April 2013.With the assistance of Wikipedia
Wednesday, April 17, 2013
3:35 AM
No comments
BIBI KIDUDE AFARIKI DUNIA
Msanii nguli wa Muziki wa Taarabu Tanzania, Fatuma binti Baraka maarufu kama Bibi Kidude amefariki dunia leo. Msanii huyu ambaye alikuwa anapatiwa matibabu katika Hospital ya Hindu Mandal huko Zanzabar. Bibi Kidude atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika sanaa ya Muziki Tanzania na hata kuitangaza Tanzania nchi za nje henzi za uhai wake. R.I.P Bibi kidude!!!
Friday, April 5, 2013
8:37 PM
No comments
1000$ Google Adwords Account
Price of this account is 12000 INR only.You can do payment via netbanking or cash deposit and we accept liberty reserve payment also.
for more details call us at +91-9136075049 / 8586875020 .You can mail us at ceo@speakmeme.com
Skype id is speakmeme
More details visit http://choicedelhi.in/contact-us/
Thursday, March 7, 2013
1:51 AM
No comments
Google Adwords Activated Accounts For USA
DLL Incorporation is providing Google Adwords Activated Accounts with 100$ balance For USA. You Do not to Spend any 25% or 25$. Just create Ad and start it.
It will work with USA IP only. and Price of each account is 20 US$ only . Bulk price would be moderated.
For more details call us at 09136075049 or call us on skype id speakmeme or you can mail us at ceo@speakmeme.com
Tuesday, February 19, 2013
12:38 AM
No comments
Packers and Movers in Hyderabad
Thursday, February 14, 2013
12:48 PM
No comments
Movers and Packers Bangalore
http://packermoveronline.com/packers-and-movers-in-bangalore/ is an online platform which is developed and designed to provide our visitors affordable and trustworthy Packers and Movers in Bangalore. We launched this segment by the name of Top 6 Packers Movers, here you'll get trustworthy and affordable packers movers in every particular area where you are searching for. You'll get all information regarding Packers and Movers in Bangalore in just 1 click.
Packers and Movers in Bangalore, Movers and Packers Bangalore, Packing Moving Services in Bangalore, Office Shifting Services in Bangalore, Movers and Packers in Bangalore, Household Shifting Services in Bangalore, Car Transportation Services in Bangalore, Packers and Movers Bangalore, Relocation Services in Bangalore, Car Movers in Bangalore, Car Carrier Services in Bangalore.
Wednesday, February 13, 2013
10:49 PM
No comments
HAPPY VALENTINE'S DAY BONGO CORNER FANS!!
Bongo Corner Crew inawatakia furaha tele ya maandalizi ya siku ya wapendanao duniani Fans wote. Bongo Corner inakuomba ukadumishe upendo kwa yule umpendae na ukamsamehe yule uliyemkosea. Tunawapenda sanaaaaaaaaaaaaaaa!
Saturday, February 2, 2013
5:38 PM
No comments
PPF TOWER YAWAKA MOTO
Jengo la ppf lililopo Posta Dar es salaam linawaka moto mda huu. Jambo la kushangaza kikosi cha zima moto kimepigwa na butwaa baada ya kukosa vifaa vya kuzimia moto magorofa marefu.
JPM
JPM
Saturday, January 19, 2013
11:37 PM
No comments
NYIMBO MPYA KWA WAPENDANAO!
|
11:00 PM
No comments
| NI MTAZAMO TU!! Zisikilize hisia zako zinataka nini,kama ni kitu chema zitendee haki hisia zako ili uwe na amani moyoni.Kwani hisia zako ni kama malaika wako anaye kuongoza.Isitoshe lawama sio mzigo kwa hali ilivyo sasa,sababu kila mtu anatafuta amani moyoni.by Vitus |
12:03 AM
No comments
How to Make Make Money With Blogging Download Free E-book Now
Hello Friends
I am introducing an E-book for Making Money through Blogging.In This E-book I have mentioned the way of making money Online through Blogging. You can get unlimited traffic by this method and can make at-least 250$ per day. Below is download link you can download it free of cost. DOWNLOAD THE E-BOOK or Visit on this link http://www.visitorvia.com/3RAXtu
Thursday, January 17, 2013
10:16 AM
No comments
Packers and Movers in Delhi
Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com/Movers-and-Packers-in-Delhi.html We provide you best affordable & trustworthy packing and moving companies who provide you services for shifting of different kinds of goods such as residential belongings (household goods), commercial commodities, office furniture, office important documents & paper, corporate belongings, and industrial goods.
Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com provides Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi.
Wednesday, January 16, 2013
6:12 AM
No comments
Facebook Activated Account With 1000$
DLL Incorporation is providing Facebook Activated Account With 1000$ only in 260$ . Bulk price could be reduced more. Its a fully activated account working.Account delivery within 4 hours of payment payment mode LR or paypal or NEFT.
LIMITED OFFER HURRY NOW . GET FREE GUIDANCE ON SKYPE SPEAKMEME
For more details buzz us on Skype Speakmeme . OR call at +91-9136075049 Visit http://choicedelhi.in/contact-us/
Tuesday, January 15, 2013
9:05 AM
No comments
Packers and Movers in Delhi
Friday, January 4, 2013
2:47 PM
No comments
MHESHIMIWA RAISI PIA ALIKUWEPO KATIKA MAZISHI
Katika kuonesha yu pamoja na wasanii wa nyumbani Tanzania, raisi wa jamuhuli ya muungano ya Tanzania mheshimiwa Kikwete alikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria mazishi ya Sajuki. Katika makaburi ya Kisutu Raisi Kikwete alionesha uwepo wake kwa kuweka mchanga kaburini kama ishara ya kumuaga mpendwa Sajuki, "Juma Kilowoko".
Raisi Jakaya alikuwa ni msaada mkubwa katika matibabu ya marehemu Sajuki aliyokuwa akiyapokea pale katika hospitali ya taifa Muhimbili mpaka umahuti ulipo mfika.
Raisi Jakaya alikuwa ni msaada mkubwa katika matibabu ya marehemu Sajuki aliyokuwa akiyapokea pale katika hospitali ya taifa Muhimbili mpaka umahuti ulipo mfika.
"Mungu ailaze roho ya ndugu yetu Sajuki mahala pema peponi Amen!"
Wednesday, January 2, 2013
4:33 AM
No comments
MVUA YAFUNGA BARABARA MOROGORO
Ni mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro na kusababisha magari kupita kwa tabu. Hali hii imetokea maeneo ya Ubena jioni ya saa kumi na mbili.
JPM
4:32 AM
No comments
SAJUKI AFARIKI DUNIA
Msanii wa Bongo Movie afahamikaye kama Sajuki 'Juma Kilowoko' leo asubuhi amepatwa na umauti katika hospital ya taifa Muhimbili.
"Sajuki amepatwa na umauti kutokana na tatizo la upungufu wa damu ambalo lilikuwa linamsumbua muda mrefu na Muhimbili ndiko alikokuwa anapata matibabu yake"
"Sajuki amepatwa na umauti kutokana na tatizo la upungufu wa damu ambalo lilikuwa linamsumbua muda mrefu na Muhimbili ndiko alikokuwa anapata matibabu yake"
JPM
Saturday, December 29, 2012
12:52 AM
No comments
Facebook Likes Services
DLL Incorporation provides 2000 facebook likes only in 35$ and 1000 Facebook likes only in 20$ In UK and all over the world .All Likes will be genuine and from popular facebook pages.
For more details call +91-9136075049 / 8586875020 Visit www.speakmeme.com
Skype Id- Speakmeme Gtalk – bestboydelhi@gmail.com
12:49 AM
No comments
Facebook Likes Services
DLL Incorporation provides 2000 facebook likes only in 35$ and 1000 Facebook likes only in 20$ In UK and all over the world .All Likes will be genuine and from popular facebook pages.
For more details call +91-9136075049 / 8586875020 Visit www.speakmeme.com
Skype Id- Speakmeme Gtalk – bestboydelhi@gmail.com
Thursday, December 27, 2012
9:29 AM
No comments
Flats For Sale in Gurgaon
Www.Ekgharhoapna/real-estate-gurgaon/ provide information & resources about Real Estate Builders in Gurgaon, Residential Flats Builders in Gurgaon, Residential House Builders, Property Builders in Gurgaon, Builders Floor in Gurgaon, Builders Luxury Apartments in Gurgaon, Builders Flats in Gurgaon, Builders in Gurgaon, Property Builders Gurgaon, Builders Apartments in Gurgaon. Real estate market is booming and its time to secure a high potential investment property. So if you are looking for investing in real estate or searching for New Projects in Gurgaon then you are on right place now.
4:10 AM
No comments
Google Adwords Voucher - Call 9136075049
DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING 25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.
WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF 50$ ONLY IN 300 INR OR 6$. FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in
WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .
CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.
4:02 AM
No comments
Google Adwords Voucher - Call 9136075049
DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING 25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.
WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF 50$ ONLY IN 300 INR OR 6$. FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in
WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .
CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.
Monday, December 24, 2012
6:37 AM
No comments
RIHANNA ACHANGIA HOSPITALI $1.75 KAMA KUMBUKUMBU YA BIBI YAKE
Msanii wa kike toka nchini Marekeni amechangisha kiasi cha dola za kimarekani milioni moja na pointi sabini na tano ($1.75mill) katika hospitali ya barbados ikiwa ni katika kumuhenzi bibi yake kipenzi Dolly aliyefariki kwa ugonjwa wa Cancer.
Mwanamziki huyo wa kike alifika katika hospitali hiyo siku ya Jumamosi, akiongozana na mama yake Monica Fenty pamoja na babu yake mzee Lionel.
Mwanamziki huyo wa kike alifika katika hospitali hiyo siku ya Jumamosi, akiongozana na mama yake Monica Fenty pamoja na babu yake mzee Lionel.
Sunday, December 23, 2012
11:02 PM
No comments
FERGUSON ALIA NA MUAMUZI
Meneja wa timu ya Manchester, Sir Alex Ferguson amelalamikia uamuzi mbovu wa mpuliza kipenga aliyechezesha mechi kati ya Man United na Swansea City iliyochezwa jana jumapili. Meneja wa Man United Sir Alex Ferguson amelalamika kuwa huenda mchezaji wake Robin Van Persie angefikwa na umauti baada mchezaji wa Swansea, Ashley Williams kumpiga RVP mpira wa kichwa na muamuzi kutochukua atua zozote.
Akizungumza na Sky Sports, boss wa United alisisitiza kuwa ile ilikuwa ni foul ya wazi kabisa lakini muamuzi Michael Oliver aliimezea.
Ferguson aliendelea kusema,"natambua muamuzi ni kijana bado lakini nimekatishwa tamaa na utendaji kazi wake. Tukio la Van Persie aliliona dhahiri."
Akizungumza na Sky Sports, boss wa United alisisitiza kuwa ile ilikuwa ni foul ya wazi kabisa lakini muamuzi Michael Oliver aliimezea.
Ferguson aliendelea kusema,"natambua muamuzi ni kijana bado lakini nimekatishwa tamaa na utendaji kazi wake. Tukio la Van Persie aliliona dhahiri."
BC Crew
Saturday, December 22, 2012
2:14 PM
No comments
LEMA HAITIKISA ARUSHA
Mbunge wa Arusha mjini mh. Lema akikusanya fedha kwaajili ya ununuzi wa gari la chama aina ya fuso. Mhesimiwa mbunge alifanya mkutano na wananchi wa Arusha mjini baada ya kushinda kesi iliyokuwa inamkabiri.
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, mh. Lema amesisitiza kupigana na mafisadi mpaka kieleweke. Mkutano huo ambao ulifanyika katika kiwanja cha Kilombero, mh. Mbunge ametoa mikakati yake baada ya kurudi kazini rasmi kama mbunge wa Arusha mjini.
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, mh. Lema amesisitiza kupigana na mafisadi mpaka kieleweke. Mkutano huo ambao ulifanyika katika kiwanja cha Kilombero, mh. Mbunge ametoa mikakati yake baada ya kurudi kazini rasmi kama mbunge wa Arusha mjini.
BC Crew
Friday, December 21, 2012
9:27 PM
No comments
NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
Yapo mengi sana wewe kama mdau wa Bongo Corner umeyafanya ndani ya mwaka huu unaoelekea ukingoni na sasa ni mda wa kufunga mahesabu. Je mwaka wako ulikuwaje? Hebu tushirikisheee kama hautajali.
BC Crew
9:16 PM
No comments
NILITOKEA HIVI!!
Ilikuwa siku poa sana pande zangu kwani nilikuwj naishuhudia kwa macho yangu mwenyewe ile siku niliyokuwa naiota tangu zamani. Asante Mungu Muumba kwa kuwawezesha wazazi wng kwa kunipeleka shule.
BC Crew
Thursday, December 20, 2012
8:36 AM
No comments
Packers and Movers in Pune
WWW,Agarwal-Packer-Mover.Com : If you are loo king to moving from one place to another can be daunting and stressful events of life. That's why we are here we have professional who can made much easier and simpler your requirements.
We tried our best to provides Packers and Movers in Pune, Car Transportation Services in Pune, Car Career Service in Pune, Relocation Services in Pune, Cargo Services in Pune, Movers and Packers in Pune, Office Shifting in Pune, Household Shifting Service in Pune, Commercial Shifting in Pune, Packing Unpacking Service in Pune, Moving Services in Pune, Car Moving Services in Pune, Packers Movers Services in Pune. Where You Want to Shift ? or Other Details:
Monday, December 17, 2012
8:20 AM
2 comments
Packers and Movers in Delhi
Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com is an Online platform where you'll get best, affordable, trustworthy and reputed Movers and Packers Delhi in Just one click. Our team tried to provide you best and affordable service providers in your area doesn't matter you are in jammu, chandigarh, mumbai, pune, delhi, gurgaon, noida, bangalore, chennai or any part of across India our motive is just to provide you best service through our online and offline network.
Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi. For More Details Visit : WWW.Agarwal-Packer-Mover.Com
Sunday, December 16, 2012
11:47 PM
No comments
Adwords Voucher UK , USA & CANADA
DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING 25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.
WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF 50$ ONLY IN 300 INR OR 6$. FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in
WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .
CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.
Saturday, December 1, 2012
3:14 PM
No comments
WATU WLIOIBA VITU VYA MAREHEMU SHARO MILIONEA WAVISALIMISHA
Watu waliofanya kitendo cha aibu cha kuiba baadhi ya mali za Sharo milionea aliyefariki dunia kwa ajali ya gari huko Muheza, wamevisalimisha kwa mkuu wa kijiji. Tukio la usalimishaji wa mali hizo umetokana na kauli kali toka kwa mkuu wa wilaya ya Muheza bibi Subira Mgalu, kutangaza kusakwa kwa watu hao na endapo watapatikana watafunguliwa mashitaka.
2:53 PM
No comments
BRAZIL KUKIPIGA NA ITALY UFUNGUZI
Hii ilikuwa ni katika droo ya ufunguzi wa kombe la FIFA Confederation la mwaka 2013 iliofanyika huko Sao Paul Brazili katika ukumbi wa Anhambi. Katika droo hiyo timu ya taifa ya Brazil inategemea kukipiga na timu ya taifa ya Italy, wakati Spain atakipiga na Uruguay.
Kundi A litakuwa kama ifuatavyo: Brazil, Japan, Mexico na Italy.
Kundi B litajumuisha timu ya Spain, Uruguay, Tahiti na watakaokuwa mabingwa wa Afrika. Mashindano haya yatapigwa huko Brazil kuanzia tarehe 15-30 ya mwezi juni mwaka 2013. Na haya ni mashindano ya tisa tangu kuanzishwa kwake na FIFA.
Kufanyika kwa mashindano haya ni maandalizi ya kombe la dunia litakalo fanyika hukohuko Brazili ifikapo mwaka 2014.
Kundi A litakuwa kama ifuatavyo: Brazil, Japan, Mexico na Italy.
Kundi B litajumuisha timu ya Spain, Uruguay, Tahiti na watakaokuwa mabingwa wa Afrika. Mashindano haya yatapigwa huko Brazil kuanzia tarehe 15-30 ya mwezi juni mwaka 2013. Na haya ni mashindano ya tisa tangu kuanzishwa kwake na FIFA.
Kufanyika kwa mashindano haya ni maandalizi ya kombe la dunia litakalo fanyika hukohuko Brazili ifikapo mwaka 2014.
Friday, November 30, 2012
4:13 AM
No comments
Packers and Movers Bangalore
WWW.Castlepackers.com Welcome to the Castle Packers and Movers. We are one of the oldest transport companies operating since 10 years in India financial capital city, Bangalore. We handle right from packing, moving all type of goods including car transportation by car carriers.
Packers and Movers Bangalore, Movers and Packers Bangalore, Car Movers in Bangalore, Car Carrier Bangalore, Warehousing Services Bangalore, Household Goods Shifting Bangalore, Insurance Services Bangalore, Relocation Services Bangalore, Movers and Packers in Bangalore, Packers and Movers in Bangalore, Packers and Movers Bangalore, Movers and Packers Bangalore, Car Movers in Bangalore, Car Carrier Bangalore, Warehousing Services Bangalore.
FOr More Information: +919343934321 Mail Id: - info@castlepackersandmovers.com
Tuesday, November 27, 2012
12:30 AM
No comments
Facebook Coupons In Delhi
DLL Incorporation provides Facebook Coupons In india. We have 50$ Facebook Coupon only in 300 INR .
and We have 100$ Facebook Coupons also. We provide Bing Vouchers of 400$ / 500$ / 700$.
All codes are working and genuine.Guidance for using coupons we will provide via email.
For more details call +91-9136075049 / 8586875020 . Skype - Speakmeme Visit http://www.choicedelhi.in
Monday, November 26, 2012
10:37 PM
No comments
SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA
Kwa habari toka kwa kamanda wa polisi mkoani Tanga zinasema kuwa Sharo milionea amefariki baada ya gari alilokuwa anaendesha kuacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake. Akizungumza na vyombo vya habari kamanda alikuwa na haya yakusema,"leo majira ya sa
a mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga
wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza"
Inasemekana kuwa katika eneo alilopata ajali hakukuwa na kona kali sana wala ubovu wa barabara, katikati ya Segera na Muheza na gari lake imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei.Katika gari hilo Sharo alikuwa pekeyake. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU AMAHALI PEMA PEPONI AMINA!
Sunday, November 25, 2012
12:32 AM
4 comments
Packers and Movers Hyderabad
Welcome to the Castle Packers and Movers Hyderabad. We are one of the oldest transport companies operating since 10 years in India.
Packers and Movers Hyderabad, Movers and Packers Hyderabad , Car Movers in Hyderabad, Car Carrier Hyderabad, Warehousing Services Hyderabad, Household Goods Shifting Hyderabad, Insurance Services Hyderabad, Relocation Services Hyderabad, Movers and Packers in Hyderabad, Packers and Movers in Hyderabad, Packers and Movers Hyderabad.
For More Details Call :- 91-9343934321 Mail info@castlepackersandmovers.com
Friday, November 23, 2012
2:28 AM
No comments
Buy Sell LR In Delhi
DLL Incorporation deals in Buying and Selling of Liberty Reserve in India on very reasonable and high rate.
We provide your payment instantly via Netbanking with Proof.We deals with genuine and authentic people only.
For Buy and Sell of LR call +91-9136075049 / 8586875020 . Skype id - Speakmeme.
Friday, November 9, 2012
8:49 AM
No comments
Packers and Movers Pune
Welcome to the Castle Packers and Movers. We are one of the oldest transport companies operating since 10 years in India financial capital city, Pune.
Packers and Movers Pune, Movers and Packers Pune, Car Movers in Pune, Car Carrier Pune, Warehousing Services Pune, Household Goods Shifting Pune, Insurance Services Pune, Relocation Services Pune, Movers and Packers in Pune, Packers and Movers in Pune, Packers and Movers Pune, Movers and Packers Pune, Car Movers in Pune, Car Carrier Pune, Warehousing Services Pune, Household Goods Shifting Pune, Insurance Services Pune, Relocation Services Pune, Movers and Packers in Pune, Packers and Movers in Pune.
For more information call: +919343934321
1:55 AM
No comments
JE NANI ATANYAKUA KITITA CHA MILLION 50 LEO?
Kati ya hawa vijana watano mmoja kati yao leo usiku ataondoka na kitita cha millioni hamsini(50). Je umafahamu ni naniiiiiii? tukutane pale kati Diamond Jubilee mida flani hiviiii. Yaaani ni Nyota Mpyaaa wa Bongo Flavaaaa!
Tuesday, November 6, 2012
11:29 PM
No comments
CHEKI NA VIDEO MPYA YA VITUS HAPA!!!!
Ni video mpya ya Vitus inayokwenda kwa jina la Tuongee. Ni nyimbo inayohusu mapenzi, jamaa anamlilia msichana ili ampate kwa udi na uvumba ili awe wakeee hebu cheki na hii Video. To watch the video Click here!
3:30 PM
No comments
JE WAJUA NI KIVIPI RED WINE YAWEZA KUKUBAKISHA KUWA MWENYE AFYA TELE
1. Lower your cholesterol
High-fiber Tempranillo red grapes—which are used to make certain red wines, like Rioja—may actually have a significant effect on cholesterol levels, according to a study from the Universidad Complutense de Madrid in Spain. Healthy study participants who consumed the same grape supplement found in red wine saw their LDL, or "bad cholesterol," levels decrease by 9% among healthy. Participants with high cholesterol experienced a drop of 12%. What's the big deal? Excess LDL ends up getting deposited in arterial walls and forming plaque, which causes arteries to stiffen and blood pressure to rise, ultimately leading to heart attacks, says Arthur Agatson, MD, an associate professor of medicine at the University of Miami and author of The South Beach Heart Program. 2. Protect your heart
On top of lowering bad cholesterol, polyphenols—the antioxidants in red wine—can help keep blood vessels flexible and reduce the risk of unwanted clotting, says John Folts, PhD, a professor of cardiovascular medicine and nutrition at the University of Wisconsin–Madison. "They're nearly as effective as aspirin," says Folts. But be careful: Chronic heavy drinking damages the heart, so, as with most things, moderation is key.
3. Control blood sugar
The skin of red grapes—a rich source of red wine's natural compound resveratrol—may actually help diabetics regulate their blood sugar, finds recent research published in the journal Nutrition. Study participants who took a 250 mg resveratrol supplement once a day for three months had lower blood glucose levels than those who didn't take the pill. Plus, resveratrol-takers also had significant decreases in total cholesterol and systolic blood pressure. Researchers suspect that resveratrol may help stimulate insulin secretion or activate a protein that helps regulate glucose and insulin sensitivity.
4. Boost your brain
Resveratrol may also be the key to keeping your memory sharp, says Philippe Marambaud, PhD, a senior research scientist at New York's Litwin-Zucker Research Center for the Study of Alzheimer's Disease and Memory Disorders. The compound has been shown to hamper the formation of beta-amyloid protein, a key ingredient in the plaque found in the brains of people with Alzheimer's. Marambaud suggests flexing your noodle by doing crossword puzzles and brain teasers for an hour then cooling down with a glass of wine. 5. Fight off a cold
If you hate getting sick (and who doesn't?), the antioxidants in red wine may help keep you healthy. A 2010 study in the American Journal of Epidemiology found that among 4,000 faculty members at five Spanish universities, those who drank more than 14 weekly glasses of wine for a year were 40% less likely to come down with a common cold. Why? According to the National Institutes of Health, antioxidants are believed to fight infection and protect cells against the effects of free radicals, which may play role in cancer and other diseases. Another antioxidant boost? They may also lower sex hormone levels to protect against breast cancer, says a study from Cedars-Sinai Medical Center in Los Angeles.
6. Stop cancer
According to researchers at the University of Virginia, the resveratrol you get from drinking one glass of red wine three or four times a week may be enough to starve any nascent cancer cells. The scientists dosed human cancer cells with resveratrol and found that the compound inhibited the key action of a cancer-feeding protein.
7. Get slim
Clearly, resveratrol is a bit of a limelight hog when it comes to the healthful compounds in vino. But research in the Journal of Biological Chemistry suggests piceatannol, the chemical compound our bodies convert from resveratrol, deserves some credit. This compound was shown to actually prevent the growth of fat cells in a series of lab tests. How? Researchers say that piceatannol binds to the insulin receptors of fat cells, essentially blocking the pathways necessary for immature fat cells to mature and grow.
8. Jazz up dinner
Who said your red wine consumption had to be limited to the glass? You can include the drink in your dinner, either as a sauce or complimentary ingredient, and still reap its benefits.
2:43 PM
No comments
JAYZ AKIWAPA RAHA MASHABIKI WA OBAMA KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI
Jayz akiwa jukwaani huko Columbus Ohio kumpatafu mgombea uraisi wa marekani Barack Obama siku moja kabla ya uchaguzi kufanyika. Jayz ni mmoja kati ya marafiki wakubwa wa Barack Obama ambaye ameshinda katika uchaguzi na kuendelea na ungwe nyingine kuiongoza Marekani.
Monday, November 5, 2012
11:33 PM
No comments
RUKA NA VIDEO MPYA TOKA A-TOWN CITY
Ni kazi chini ya mikono yake mkali Barney Theophil tokea pande za Arusha inayokwenda kwa jina la TUTAFANYAJE ngoma yake Rams akiwashirikisha Zamara na Ray Dream. To watch the video Click Here!




























.jpg)








