KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Sunday, February 23, 2014

Are You Looking For Fast/Quick Weight Loss?

Except the sun and the moon, everybody seems to be in a hurry!
We can predict by mathematical calculations the time of sunset after 1000 years and the time of moonrise on the same day. Through calculations, we can predict it today! The natural forces are not in a hurry! Everything is unfolding as it should! In a set pattern! Nature evolves with a method and it is in not in a hurry to prove and disprove anything!
You don't learn something from nature, though you are a part of the nature! When you disobeyed the laws of nature and went on an eating spree, you never thought of the consequences-that your body will grow and expand like a Bo-tree one day. Now you want a fast/ quick weight loss program!
Better late than never! You have woken up at the right time! Can you ever achieve by weight loss that picture-perfect figure, that was you 20 years ago? fYour goal is achievable, provided you make certain firm decisions!
A morning-walk schedule is best to start with! On the first day, you may feel tired! On the second day, you may feel extremely tired! On the third day, you are bound to have joint pains! On the fourth day, your weak will power, may advise you-okay, please skip today's schedule -sleep for another two hours! And you have ignored this advice and had a pleasant walk- your will power is gaining ground and stabilizing!
When you are walking alone, thus, you know that you are walking. There is another type of walk, one in which you do not know that you are walking, and yet is a double-benefit scheme! Your ever faithful dog! Dog ownership nearly doubles the amount of time you spend in your walks!
By now, you must have shed some grams of your weight, if not some kilograms! Well done! You can think about the realms of higher adventures now! Read and understand the tex ts like Ashtanga Yoga and Bikram Yoga. The procedure is foolproof ! Ashtanga Yoga was authored by a realized soul and hence, undoubtedly faultless!
Our eating menu need not be that extensive and contain matchless spices! Just go back to your own history-human history! Life at the earlier stages was not all that complicated! How did our ancestors cook before the advent of fire? Look at the animals -they eat raw, that which is available in nature and according to their own nature! Only man has taken to the habit of cooking! Do animals have these many diseases and so many hospitals? Therefore the cases of obesity among birds and animals are rare!
Man, discover yourself! Ponder deeply! Fast and quick weight loss is a possibility within your range!

Watch This Amazing Videos To Learn How To Lose Weight Fast

Saturday, February 15, 2014

TANGAZO NAFASI ZA KAZI UHAMIAJI









Kamishna Mkuu wa Uhamiaji anatangaza nafasi za kazi katika Idara ya Uhamiaji. Nafasi hizo ni Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Koplo wa Uhamiaji na Konstebo wa Uhamiaji.

A.      MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (Nafasi 70)


SIFA ZINAZOHITAJIKA

Awe na Shahada ya Kwanza au Stashahada ya Juu kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa  na Serikali katika fani zifuatazo:
Sheria, Uchumi, Biashara, Utawala, Uandishi wa Habari, Ualimu, Usafirishaji, Raslimali Watu, Sayansi ya Kompyuta, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Takwimu, Uchapaji, Uhandisi Majengo na Uhandisi Mitambo.

Awe na umri usiozidi miaka 35

MAJUKUMU NA KAZI ZA KUFANYA

Kusimamia doria sehemu za Mipakani, Bandarini, Vituo vya Mabasi, Treni na sehemu zenye vipenyo vya kuingia na kutoka nchini vikiwemo vya majini
Kusimamia shughuli za upelelezi, kuandaa Hati ya Mashitaka na kuendesha mashitaka
Kutoa na kupokea fomu mbali mbali za maombi ya Hati za Uhamiaji
    Kufanya Ukaguzi wa Mwanzo wa Maombi mbalimbali
Kuagiza ufunguaji wa Majalada ya watumiaji
 Kupokea na kukagua Hati za Safari, Fomu za Kuingia na Kutoka Nchini
Kuidhinisha malipo mbalimbali ya huduma za Uhamiaji kwa wanaostahili
Kutunza kumbukumbu za ruhusa za watu wanaoingia na kutoka nchini
Kukusanya, kusimamia na kutunza takwimu za Uhamiaji na Uraia
Kuandaa majibu ya maombi yote ya huduma za uhamiaji yaliyokubaliwa au kukataliwa
B:      KOPLO WA UHAMIAJI (Nafasi 100)       
1.      SIFA ZINAZOHITAJIKA:

Awe amehitimu Kidato cha Sita na kufaulu
Awe na umri usiozidi miaka 30
C.      KONSTEBO WA UHAMIAJI (Nafasi 100)
1.      SIFA ZINAZOHITAJIKA:

Awe amehitimu Kidato cha Nne na kufaulu
Awe na umri usiozidi miaka 25
D:      SIFA ZA ZIADA: KOPLO/KONSTEBO WA UHAMIAJI

Cheti cha Ufundi Stadi (Full Technical Certificate) kwenye fani ya Umeme na Mitambo
Cheti au Stashahada ya Uhaziri (Certificate or Diploma in Secretarial Studies) kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
Cheti au Stashahada ya Kutunza Kumbukumbu (Certificate in Records Management) kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
Cheti au Stashahada ya Takwimu (Certificate or Diploma in Statatistics ) Kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali.
Cheti au Stashahada ya Vyombo vya Majini (Certificate or Diploma in Marine Transportation and Operations) kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
Cheti au Stashahada katika fani ya Uchapaji (Printing)
Ujuzi na Elimu ya Kompyuta na Uandishi mzuri utazingatiwa
Cheti cha Ufundi Makanika,Kozi ya juu ya Udereva na Leseni ya Udereva Daraja C
E.       MAJUKUMU NA KAZI ZA KUFANYA

 Kufungua, kupanga na kutunza majalada ya huduma mbalimbali za Uhamiaji
     Kuandika Hati mbalimbali za Uhamiaji
Kufanya doria sehemu za Mipakani, Bandarini, Vituo vya Mabasi, Treni na sehemu zenye vipenyo vya kuingia na kutoka nchini vikiwemo vya majini.
Kusindikiza watuhumiwa wa kesi za Uhamiaji Mahakamani pamoja na wageni wanaofukuzwa nchini
Kufanya ukaguzi kwenye mahoteli, nyumba za kulala wageni na sehemu za biashara.
Kuchapa au kuandika kwa kompyuta barua au nyaraka mbalimbali zinazohusu kazi za kila siku za Uhamiaji.
Kufanya matengenezo/ukarabati wa mitambo na vitendea kazi vya Uhamiaji
Kuandaa na kutunza takwimu za huduma mbalimbali za uhamiaji
F.       MAOMBI YOTE YAWE NA VIAMBATISHO VIFUATAVYO:

Nakala za vyeti vya kuhitimu masomo kwa mujibu wa sifa zilizotajwa
Nakala ya Cheti cha Kumaliza Elimu ya Msingi
Nakala ya Cheti cha Kuzaliwa
Picha mbili (Passport Size)
Barua ya Utambulisho kutoka kwa Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa
G.      UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI
Maombi yote yapitie posta na barua za maombi ziandikwe kwa mkono.

Maombi ya nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji yatumwe kwa:
KATIBU MKUU,
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI,
S.L.P. 9223, DAR ES SALAAM

Maombi ya nafasi ya Koplo wa Uhamiaji na Konstebo wa Uhamiaji yatumwe kwa:
KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI,
S.L.P. 512, DAR ES SALAAM
          
Mwisho wa kutuma maombi kwa nafasi zote ni tarehe 27/02/2014 

Wednesday, February 12, 2014

Download Celebrity Player (hottest news and best videos on your desktop)

 

Download Celebrity Player (hottest news and best videos on your desktop)

To get today's hottest news and best videos delivered right to your desktop, download the free blinkx Beat Celebrity Player today! ( its free )

news daily and videos

you don't need to read or watch news channel

just open Celebrity software and enjoy

Download Celebrity Player From Here


 

Tuesday, February 11, 2014

Fre iPad 2 ( How it Works )

 

Fre iPad 2 ( How it Works )

FreebieJeebies is the industry leader in referral marketing. They have thousands of products that they give away for FREE because of the sponsoring companies they partner with.

How it works is you sign-up and complete 1, only 1, offer. Many, if not most, of the offers require a zero dollar investment. Others require a one-time payment of $5 or so.

After completing the offer, depending on the FREE item of your choice, you'll need to refer your friends and associates to the site and have them complete an offer.

Now we've been doing this for some time and have received various FREE items including an Apple iPads (2), Apple iPhones (3), a Xbox360, a Playstation 3, and more.
 

To get started, simply click on the big picture below!

 

Get Your Free iPad From Here

Get Your Free iPad From Apple

Get Your Free iPad From Apple

 

Claim your FREE Apple iPad now and joins the thousands who are getting Apple's most dynamic product at exactly no cost!  The very latest version of the Apple iPad with all the groundbreaking features is simple to obtain.....at no cost!
 
 
Even the shipping is FREE!

The Apple iPad has revolutionized the (PC) Tablet in the same way as the iPhone changed the simple mobile phone, and you can own the iPad for free â€" just by following my simple guide.

To get started, simply click on the big picture below!

 

Get Your Free iPad From Here

Tuesday, February 4, 2014

Sunday, December 15, 2013

BURIHANI MADIBA

Mandela amezikwa kuambatana na tamaduni za Xhosa.Ng’ombe dume amechinjwa, na jeneza la hayati
Mandela kufungwa kwa ngozi ya Chui huku mzee
mmoja wa familia akiongea na mizimu ya mfu
hadi Madiba alipozikwa.Mazishi ya Mandela pia yamejumuisha tamaduni za watu wa jamii ya Xhosa ambako ukoo wa
Mandela wa Thembu unatoka.
Bila shaka mazishi ya Mandela katika kijiji cha Qunu yamekuwa mchanganyiko wa mila na
tamaduni , dini ya kikristo na pia watakaofika katika  mazishi ya kitaifa.
Watu wa jamii ya Xhosa ambao ni moja ya kabila
kubwa zaidi Afrika Kusini ikiwa na watu milioni saba wanatoka Kusini Mashariki mwa nchi katika mkoa wa Cape Mashariki.
Watu wa kabila la Xhosa wanatambua mizimu ya
mababu zao na wao huzungumza nayo wakati
wakitaka msaada.
Wanaamini kuwa lazima mwili ujulishwe
kinachofanyika kabla ya kuuzika
Wanasema kuwa Madiba Lazima afahamishwe
Jumapili kuwa anazikwa .
Lazima jeneza lake litafungwa kwa ngozi ya Chui
kwa sababu alikuwa mtoto wa mfalme wa kitamaduni.
Lakini kwa sababu Madiba alikuwa Rais wa
zamani , lazima pawepo bendera ya nchi. Bila
shaka hii ni ishara ya heshima kwa kiongozi
mheshimiwa.
Ng’ombe atachinjwa mapema alfajiri na kuliwa na
watu waliofika kwa maombolezi. Na baada ya
mwaka mmoja tangu kuzikwa kwa Madiba,
Ng’ombe mwingine atachinjwa na kuliwa na
familia ishara kuwa maombolezi yamekwisha.

Saturday, December 7, 2013

MANDELA KUZIKWA DISEMBA 15

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema kuwa Hayati Nelson Mandela atazikwa tarehe kumi na tano Jumapili mwezi Disemba katika kijiji cha Qunu mkoa wa Eastern Cape.

name BBC Swahili

Friday, December 6, 2013

NELSON MANDELA AAGA DUNIA

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ameaga dunia.
Mandela amefariki huko Johannesburg akiwa na umri wa miaka 95 na yeye ndiye aliongoza Afrika Kusini kutoka mikononi mwa watawala wa ubaguzi wa rangi baada ya kufungwa jela kwa miaka 27.
Taarifa zinazohusiana
Afrika Kusini
Mandela alikuwa anatibiwa homa ya mapafu nyumbani kwake baada ya kulazwa hospitalini kwa miezi mitatu.
Katika taarifa yake kwa watu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, alisema kuwa Mandela amewaaga lakini yuko mahali salama.
Mnamo mwaka 2005, Mandela alitangaza kwa taifa kuwa mwanawe wa kume alifariki kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.
Rais Zuma amesema kuwa taifa limepoteza mtu waliyemjua kama mtoto wa taifa hilo.
Mandela aliwahi kushinda tuzo ya amani ya Nobel, na kutambulika kama rais aliyeheshimika sana hasa kwa kupatanisha watu wa Afrika Kusini baada ya kuondoka gerezani.
Hakuonekana sana hadharani tangu alipostaafu mwaka 2004.

Thursday, November 28, 2013

CHADEMA NGOMA NZITO

Utata mkubwa umeibuka kuhusu waraka halisi wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013’ uliosababisha Zitto Kabwe kuvuliwa wadhifa wake wa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika Novemba 20 - 22, mwaka huu.

Baada ya juzi, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika kuwaeleza wanahabari kuwa waraka uliochapishwa katika magazeti na mitandao ya kijamii, siyo halisi, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba amejitokeza na kuutetea huku akidai kwamba huo unaodaiwa na uongozi kuwa ndiyo halisi umeghushiwa.

Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), alivuliwa uongozi pamoja na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo na Mwigamba kutokana na madai ya kuandaa waraka huo ambao Chadema kimesema ulikuwa unaeleza mbinu za uasi za viongozi hao ambazo zingetumika wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani wa chama hicho jambo ambalo ni kinyume na katiba, sheria na itifaki zake.

Katika tamko alilotoa jana, Mwigamba alidai kwamba

kuna njama zinazofanywa na baadhi ya viongozi wa Chadema ili kuubadili waraka halisi wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013’ kwa lengo la kupoteza maana yake, huku akisisitiza kuwa waraka halisi hauna tatizo lolote.

Katika madai yake, Mnyika alisema waraka huo unaosambazwa na kuchapishwa, si ule uliowasilishwa na kujadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu na kuahidi kuutoa waraka halisi ambao una mambo makubwa na mengi zaidi.

“Waraka utakaotumika katika mashtaka yao siyo huo. Sisi tutautumia ule ambao uliwasilishwa katika Kamati Kuu ambao una mambo makubwa na mengi zaidi kuliko huo unaochapishwa sehemu mbalimbali, ikibidi tutautoa huo waraka halisi,” alisema.

Hata hivyo, jana Mwigamba alisema waraka halisi ni ule ambao upo katika kompyuta mpakato (Laptop) aliyonyang’anywa na wanachama wa Chadema, Oktoba 25, mwaka huu, katika mkutano mjini Arusha.

“Waraka uliosambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii ni sahihi neno kwa neno kama nilivyousoma katika magazeti ya jana (juzi), pamoja na nakala iliyopo katika mtandao wa kijamii wa Jamii Forums.”

Aliongeza: “Ili kuthibitisha kwamba waraka ule ndiyo wenyewe, nawatumieni ‘soft copy’ kutoka kwenye kompyuta yangu kwani waraka huo uliibwa kutoka katika kompyuta hiyo ambayo nilirudishiwa baada ya wao kuikagua na kukuta waraka huo halisi.”

Mwigamba alisema waraka wake unatofautiana kwa kiasi kikubwa na ule ambao Chadema kinasema kuwa ndiyo halisi: “Lissu na wenzake wana mpango wa kuuchakachua waraka huu, lakini wamekwama.”

Alisema kuandaa waraka huo siyo uhaini kama ambavyo imekuwa ikielezwa na viongozi wa Chadema na kusisitiza kuwa ni waraka wa kusaka ushindi katika uchaguzi halali ndani ya chama hicho uliopangwa kufanyika Desemba mwaka huu na baadaye kusogezwa hadi Juni mwakani.

<<<Habari na mwananchi gazeti>>>

Wednesday, November 27, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Sunday, November 24, 2013

Google Adwords Coupons India

Adwords Coupons Available for India for  sale Validity for 1 year .It is 2000 inr voucher and its price is too 200 inr .
 
You can Advertise Your Website on Adwords Pay Rs.900 & Get Rs. 2,500 Advertisement
 
We also provide bing Vouchers & Facebook Vouchers. We Provide Web designing & SEO Services also.
 
 
Call us Anytime @ 08586875020 / 9136075049
 
SKYPE ID speakmeme
 
Gtalk id bestboydelhi@gmail.com
 
Email id ceo@speakmeme.com
 
official site www.speakmeme.com
 
Contact Person Dharmendra K Gupta
 
 

Sunday, November 17, 2013

yangu ya undergraduate

Wednesday, November 13, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Monday, November 11, 2013

Adwords Coupon Codes Here Call 8586875020

Adwords Coupons Available for India for  sale Validity for 1 year .It is 2000 inr voucher price is too low.
 
You can Advertise Your Website on Adwords Pay Rs.900 & Get Rs. 2,500 Advertisement
 
We also provide bing Vouchers & Facebook Vouchers. We Provide Web designing & SEO Services also.
 
 
Call us Anytime @ 08586875020 / 9136075049
 
SKYPE ID speakmeme
 
Gtalk id bestboydelhi@gmail.com
 
Email id ceo@speakmeme.com
 
official site www.speakmeme.com
 
Contact Person Dharmendra K Gupta
 
 

Thursday, November 7, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Wednesday, November 6, 2013

Tuesday, November 5, 2013

TAARIFA MUHIMU KWA WANAKAMATI WOTE WALIOFANIKISHA MSIBA WA MANGWAIR

Wanakamati wote ambao walifanikisha mazishi ya ndugu yetu marehemu Albert Mangweha aka CowBama mnataarifiwa kufika kwenye kikao kitakachofanyika siku ya Jumamosi tarehe 9.11.13 saa 9 alasiri pale Leaders Club Dar es Salaam. Mnaombwa wanakamati wote mfike siku hiyo kuna jambo muhimu lakuongelea, ukipata ujumbe huu mtaarifu mwanakamati mwenzako

Saturday, November 2, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Tuesday, October 29, 2013

Mkina Mkina Allen sent you an invitation

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen has invited you to join Twitter!

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.