KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Wednesday, June 28, 2017

KIJANA RAYVAN ATEGEMEWA KUTUA LEO TWENZETU

Hongera sana Rayvan na karibu sana home tena kwa kishindo kikubwa. Umeiwakilisha vyema Tz bro!

Monday, May 29, 2017

IGP SIMON SIRRO ALIVYOAPISHWA IKULU

Raisi wa Tanzania Dkt.  John Magufuli akimuapisha aliyekuwa kamishna wa polisi kamanda Simon Sirro kuwa mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) Tanzania.

Monday, May 8, 2017

BANKI KUU YA TANZANIA YAIFUTIA LESENI BENKI YA FBME

Banki Kuu ya Tanzania imesimamisha shughuli zote za FBME Bank Limited ikiwemo kufuta leseni yake ya kufanya shughuli za kibenki; kuiweka chini ya ufilisi; na kuiteua Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kama mfilisi kuanzia tarehe 8 Mwezi Mei, 2017 


Miili ya wanafunzi walimu na dereva yawasili uwanjani

Miili ya wanafunzi, walimu na dereva waliopata ajali imewasili uwanjani, ililetwa na magari ya Jwtz kwaajili ya kuagwa rasmi.

Wabunge watoa posho zao kuomboleza vifo vya wanafunzi

Wabunge wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania watoa posho zao kwaajili ya kuomboleza vifo vya wanafunzi.

Saturday, March 25, 2017

SAMATTA AING'ARISHA TAIFA STARS



Timu ya Taifa "Taifa Stars" imeifunga timu ya Botswana mabao 2 kwa 0 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyuochezwa leo katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Mabao ya Taifa Stars yametiwa nyavuni na Mbwana Samatta, bao la kwanza likifungwa mapema kabisa dakika ya pili ya mchezo na bao la pili likiingia nyavuni dakika 87 ya mchezo.

Monday, March 20, 2017

RAISI AMTAKA RC MAKONDA APIGE KAZI

Raisi Magifuli amemtaka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuendelea kupiga kazi kama sehemu ya majukumu yake.

"Mimi ni rais ninayejiamini, sipangiwi mambo ya kufanya. Hata fomu ya kugombea nilikwenda kuichukua peke yangu, kwa hiyo Makonda wewe chapa kazi," amesema Rais Magufuli.

Thursday, March 16, 2017

CAF YAPATA RAISI MPYA

Mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa miguu Madagasca bwana Ahmad ameshinda uchaguzi wa kinyang'anyilo cha uraisi wa CAF na kumbwaga aliyekuwa raisi wa chama hicho Hayatou toka Cameroon aliyeshikilia nafasi hiyo tangu mwaka 1988.




RAISI MAGUFULI ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA IKULU DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wametembelea eneo linalofanyakazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu Chamwino huko mkoani Dodoma.

Wednesday, March 15, 2017

TRA YATIA KUFURI OFISI ZA TFF

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limezifungia Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na madai ya kodi inayodaiwa shirikisho hilo.
Tukio hilo la kufungiwa ofisi na TRA limefanywa kupitia Kampuni ya udalali ya yono Auction Mart imewataka wafanyazi kuacha kila kitu cha shirikisho hilo ndani ya ofisi.
Tupe maoni yako

Monday, March 13, 2017

KANTE AIUA MAN UNITED

N'golo Kante' mchezaji mwenye jezi nambari 7 mgongoni ameiwezesha timu ya chelsea kuvuka robo fainali baada ya kuifunga timu ya Man United bao moja kwa nunge dakika ya 51 ya mchezo.

MAN U AU CHELSEA LEO?

Nani kutoka kidedea leo ikiwa zimebaki dakika chache mpira kuwekwa katikati kati ya Man United na Chelsea?

Sunday, March 12, 2017

Sir George Kahama afariki dunia

Aliyekuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani katika serikali ya awamu ya kwanza ya Hayati Mwl Nyerere, Sir George Kahama amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa ya muhimbili alipokuwa anapata matibabu.

Wednesday, March 8, 2017

BARCA NOMA WAICHAPA PSG 6-1

Timu ya Barcelona imeichakaza timu ya Paris Saint Germain (PSG) mabao 6-1 katika mashindano yanayoendelea ya UEFA.
Mchezaji Sergi Roberto alifunga bao la 6 kwa mkwaju wa mwisho wa mchezo, na hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa 6-5 kwenye mchezo uliopigwa kwenye dimba la Nou Camp.
Barcelona walifunga magoli matatu katika dakika saba za mwisho. Walikuwa wakiongoza kwa 3-1.


Wiki tatu zilizopita PSG iliifunga Barcelona magoli 4-0 mjini Paris.
Hatua ya kurejesha magoli yote hayo ni kubwa kuwahi kushuhudiwa katika historia ya UEFA, na sasa Barcelona wana kila nafasi ya kunyanyua kombe la Klabu Bingwa Ulaya kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka mitatu.

Wednesday, March 1, 2017

RAISI AMTEUA MAMA SALMA KIKWETE KUWA MBUNGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Magufuli amemteua Mhe. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.






Tuesday, December 6, 2016

IBVPN Referral Program - IBVPN DISCOUNT COUPON CODE

Why we should promote , refer and make money with Ibvpn Referral Program ?

IBVPN is one of best and fastest VPN in world which provides VPN and smart DNS also. It is cheaper, secure and better than other VPNS.This VPN is compatible with linux,windows,routers,smart tvs, gaming consoles etc.
it care about customers privacy and it do NOT keep logs with our users' activity. 100% privacy guaranteed if you are using ibVPN.


It is compatible with below compatible devices:-

  • Windows: Win 10, Win 8 , Win 7, Win Vista, Win XP
  • Mac OS
  • Linux
  • Xbox Consoles
  • DD-WRT Routers
  • Sabai Routers
  • Android
  • iOS
  • Roku Streaming player
  • Playstation Consoles

In case you lose your internet connection and after coming connection back IBVPN will connect again.IBVPN has 100+ servers in 24 countries all around the world.

Some of the main features of this VPN are blow :-

  • You can Access all your favorite sites anytime from anywhere
  • You can access your favorite geo restricted sites anytime, from anywhere in the world
  • Prevent hackers from stealing your data
  • Protect yourself from 3rd party tracking
  • Pick from a worldwide network of servers
  • It supports Open VPN, PPTP, L2TP, SSTP
  • ibDNS integrated
  • Connects at start up
  • Kill Switch & auto reconnect included


SO DO NOT WAIT purchase IBVPN with 80% discount for frist month . Just 3.54$ only for one month.

You can join affiliate profram also and can invite your friends and contacts and connection and can make money.

 

JOIN HERE

Saturday, November 26, 2016

KAMISHENI YA MAAFISA WAPYA WA JWTZ

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama Dkt. John Pombe Magufuli atunuku kamisheni kwa maafisa wanafunzi kundi la 59/15 wa Jeshi la wananchi wa Tanzania Ikulu leo jijini Dar es salaam Novemba 26,2016.

(Taarifa na blog ya Ikulu)

Thursday, July 14, 2016

Bing Ads Coupon WORTH $100 For Sale - FOR UK US INDIA FRANCE

 
Friends I have many coupons of Bing Ads Worth $100 , means if you will redeem this coupon in your Bing  ad account you will get free ad credit worth 100 USD.
 
Advertisement cost on Bing is almost 3 times less than google adwords.
 
This coupon woks worldwide in any county billing  .
 
This coupon works one time in one ad account.
 
Expiry of coupon is December 31st 2016.
 
You need to add valid payment method (credit card or paypal ) in your bing ad accounts to redeem this coupon.
 
This coupon works in new ad accounts or less than 30 days old.
 
If you have multiple account then you can use multiple coupons.
 
You need to spend this credit within 90 days after redeeming this voucher.
 
I have Google Adwords Coupon (spend 500 Get 2000 INR)  for India and US billing (spend 25$ and get 100$) also.These coupons also works in new ad accounts only.
 
I will help you in redeeming coupon and setting up your ad accounts.
 
FOR MORE DETAILS CONTACT  ME SKYPE ID SPEAKMEME EMAIL ME AT CEO@SPEAKMEME.COM
 
MORE DETAILS ABOUT THIS OFFER VISIT http://choicedelhi.in
 

Thursday, July 7, 2016

MAREKANI YAPITISHA SHERIA KALI ZIDI YA UVAAJI WA MTEPESHO

Katika mji wa Timmonsville, mji mdogo wenye watu 2000, nchini Marekani imepitishwa sheria kali ya kuuzia uvaaji wa suruali kimtepesho (mlegezo ). Sheria hiyo imeenda mbali zaidi kiasi cha kumpiga fine mtu atakayevaa mtepesho kuanzia $100 hadi 600.
Kama mtanzania kijana unamawazo gani juu ya hili njoo na maoni yako.

Saturday, June 4, 2016

MUHAMMAD ALI 'The Greatest of All Time', Dead at 74


By Steve Almasy, Madison Park and Joe Sutton , CNN
(CNN) — Muhammad Ali, the legendary boxer who proclaimed himself "The Greatest" and was among the most famous and beloved athletes on the planet, died Friday in Arizona, a family spokesman said.