KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Thursday, November 28, 2013

CHADEMA NGOMA NZITO

Utata mkubwa umeibuka kuhusu waraka halisi wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013’ uliosababisha Zitto Kabwe kuvuliwa wadhifa wake wa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika Novemba 20 - 22, mwaka huu.

Baada ya juzi, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika kuwaeleza wanahabari kuwa waraka uliochapishwa katika magazeti na mitandao ya kijamii, siyo halisi, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba amejitokeza na kuutetea huku akidai kwamba huo unaodaiwa na uongozi kuwa ndiyo halisi umeghushiwa.

Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), alivuliwa uongozi pamoja na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo na Mwigamba kutokana na madai ya kuandaa waraka huo ambao Chadema kimesema ulikuwa unaeleza mbinu za uasi za viongozi hao ambazo zingetumika wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani wa chama hicho jambo ambalo ni kinyume na katiba, sheria na itifaki zake.

Katika tamko alilotoa jana, Mwigamba alidai kwamba

kuna njama zinazofanywa na baadhi ya viongozi wa Chadema ili kuubadili waraka halisi wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013’ kwa lengo la kupoteza maana yake, huku akisisitiza kuwa waraka halisi hauna tatizo lolote.

Katika madai yake, Mnyika alisema waraka huo unaosambazwa na kuchapishwa, si ule uliowasilishwa na kujadiliwa katika kikao cha Kamati Kuu na kuahidi kuutoa waraka halisi ambao una mambo makubwa na mengi zaidi.

“Waraka utakaotumika katika mashtaka yao siyo huo. Sisi tutautumia ule ambao uliwasilishwa katika Kamati Kuu ambao una mambo makubwa na mengi zaidi kuliko huo unaochapishwa sehemu mbalimbali, ikibidi tutautoa huo waraka halisi,” alisema.

Hata hivyo, jana Mwigamba alisema waraka halisi ni ule ambao upo katika kompyuta mpakato (Laptop) aliyonyang’anywa na wanachama wa Chadema, Oktoba 25, mwaka huu, katika mkutano mjini Arusha.

“Waraka uliosambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii ni sahihi neno kwa neno kama nilivyousoma katika magazeti ya jana (juzi), pamoja na nakala iliyopo katika mtandao wa kijamii wa Jamii Forums.”

Aliongeza: “Ili kuthibitisha kwamba waraka ule ndiyo wenyewe, nawatumieni ‘soft copy’ kutoka kwenye kompyuta yangu kwani waraka huo uliibwa kutoka katika kompyuta hiyo ambayo nilirudishiwa baada ya wao kuikagua na kukuta waraka huo halisi.”

Mwigamba alisema waraka wake unatofautiana kwa kiasi kikubwa na ule ambao Chadema kinasema kuwa ndiyo halisi: “Lissu na wenzake wana mpango wa kuuchakachua waraka huu, lakini wamekwama.”

Alisema kuandaa waraka huo siyo uhaini kama ambavyo imekuwa ikielezwa na viongozi wa Chadema na kusisitiza kuwa ni waraka wa kusaka ushindi katika uchaguzi halali ndani ya chama hicho uliopangwa kufanyika Desemba mwaka huu na baadaye kusogezwa hadi Juni mwakani.

<<<Habari na mwananchi gazeti>>>

Wednesday, November 27, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Sunday, November 24, 2013

Google Adwords Coupons India

Adwords Coupons Available for India for  sale Validity for 1 year .It is 2000 inr voucher and its price is too 200 inr .
 
You can Advertise Your Website on Adwords Pay Rs.900 & Get Rs. 2,500 Advertisement
 
We also provide bing Vouchers & Facebook Vouchers. We Provide Web designing & SEO Services also.
 
 
Call us Anytime @ 08586875020 / 9136075049
 
SKYPE ID speakmeme
 
Gtalk id bestboydelhi@gmail.com
 
Email id ceo@speakmeme.com
 
official site www.speakmeme.com
 
Contact Person Dharmendra K Gupta
 
 

Sunday, November 17, 2013

yangu ya undergraduate

Wednesday, November 13, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Monday, November 11, 2013

Adwords Coupon Codes Here Call 8586875020

Adwords Coupons Available for India for  sale Validity for 1 year .It is 2000 inr voucher price is too low.
 
You can Advertise Your Website on Adwords Pay Rs.900 & Get Rs. 2,500 Advertisement
 
We also provide bing Vouchers & Facebook Vouchers. We Provide Web designing & SEO Services also.
 
 
Call us Anytime @ 08586875020 / 9136075049
 
SKYPE ID speakmeme
 
Gtalk id bestboydelhi@gmail.com
 
Email id ceo@speakmeme.com
 
official site www.speakmeme.com
 
Contact Person Dharmendra K Gupta
 
 

Thursday, November 7, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.

 

Wednesday, November 6, 2013

Tuesday, November 5, 2013

TAARIFA MUHIMU KWA WANAKAMATI WOTE WALIOFANIKISHA MSIBA WA MANGWAIR

Wanakamati wote ambao walifanikisha mazishi ya ndugu yetu marehemu Albert Mangweha aka CowBama mnataarifiwa kufika kwenye kikao kitakachofanyika siku ya Jumamosi tarehe 9.11.13 saa 9 alasiri pale Leaders Club Dar es Salaam. Mnaombwa wanakamati wote mfike siku hiyo kuna jambo muhimu lakuongelea, ukipata ujumbe huu mtaarifu mwanakamati mwenzako

Saturday, November 2, 2013

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
Top corners image
     
 
   
 
 
 

Mkina Mkina Allen is still waiting for you to join Twitter...

 
 
  Accept invitation  
 
     
 

Twitter helps you stay connected with what's happening right now and with the people and organizations you care about.