KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Saturday, December 29, 2012

Facebook Likes Services

DLL Incorporation provides 2000 facebook likes only in 35$ and  1000 Facebook likes only in 20$ In UK and all over the world .All Likes will be genuine and from popular facebook pages.


For more details call +91-9136075049 / 8586875020 Visit www.speakmeme.com

Skype Id- Speakmeme Gtalk – bestboydelhi@gmail.com

Facebook Likes Services

DLL Incorporation provides 2000 facebook likes only in 35$ and  1000 Facebook likes only in 20$ In UK and all over the world .All Likes will be genuine and from popular facebook pages.


For more details call +91-9136075049 / 8586875020 Visit www.speakmeme.com

Skype Id- Speakmeme Gtalk – bestboydelhi@gmail.com

Thursday, December 27, 2012

Flats For Sale in Gurgaon


Www.Ekgharhoapna/real-estate-gurgaon/ provide information & resources about Real Estate Builders in Gurgaon, Residential Flats Builders in Gurgaon, Residential House Builders, Property Builders in Gurgaon, Builders Floor in Gurgaon, Builders Luxury Apartments in Gurgaon, Builders Flats in Gurgaon, Builders in Gurgaon, Property Builders Gurgaon, Builders Apartments in Gurgaon. Real estate market is booming and its time to secure a high potential investment property. So if you are looking for investing in real estate or searching for New Projects in Gurgaon then you are on right place now.

real estate in gurgaon

Google Adwords Voucher - Call 9136075049

DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE  ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING  25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.

Inline image 1


WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF  50$ ONLY IN 300 INR OR 6$.  FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in

WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR  SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .

CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.

Google Adwords Voucher - Call 9136075049

DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE  ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING  25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.

Inline image 1


WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF  50$ ONLY IN 300 INR OR 6$.  FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in

WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR  SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .

CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.

Monday, December 24, 2012

RIHANNA ACHANGIA HOSPITALI $1.75 KAMA KUMBUKUMBU YA BIBI YAKE

Msanii wa kike toka nchini Marekeni amechangisha kiasi cha dola za kimarekani milioni moja na pointi sabini na tano ($1.75mill) katika hospitali ya barbados ikiwa ni katika kumuhenzi bibi yake kipenzi Dolly aliyefariki kwa ugonjwa wa Cancer.
Mwanamziki huyo wa kike alifika katika hospitali hiyo siku ya Jumamosi, akiongozana na mama yake Monica Fenty pamoja na babu yake mzee Lionel.

Sunday, December 23, 2012

FERGUSON ALIA NA MUAMUZI

Meneja wa timu ya Manchester, Sir Alex Ferguson amelalamikia uamuzi mbovu wa mpuliza kipenga aliyechezesha mechi kati ya Man United na Swansea City iliyochezwa jana jumapili. Meneja wa Man United Sir Alex Ferguson amelalamika kuwa huenda mchezaji wake Robin Van Persie angefikwa na umauti baada mchezaji wa Swansea, Ashley Williams kumpiga RVP mpira wa kichwa na muamuzi kutochukua atua zozote.
Akizungumza na Sky Sports, boss wa United alisisitiza kuwa ile ilikuwa ni foul ya wazi kabisa lakini muamuzi Michael Oliver aliimezea.
Ferguson aliendelea kusema,"natambua muamuzi ni kijana bado lakini nimekatishwa tamaa na utendaji kazi wake. Tukio la Van Persie aliliona dhahiri."

BC Crew

Saturday, December 22, 2012

LEMA HAITIKISA ARUSHA

Mbunge wa Arusha mjini mh. Lema akikusanya fedha kwaajili ya ununuzi wa gari la chama aina ya fuso. Mhesimiwa mbunge alifanya mkutano na wananchi wa Arusha mjini baada ya kushinda kesi iliyokuwa inamkabiri.
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake, mh. Lema amesisitiza kupigana na mafisadi mpaka kieleweke. Mkutano huo ambao ulifanyika katika kiwanja cha Kilombero, mh. Mbunge ametoa mikakati yake baada ya kurudi kazini rasmi kama mbunge wa Arusha mjini.

BC Crew

Friday, December 21, 2012

NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA

Yapo mengi sana wewe kama mdau wa Bongo Corner umeyafanya ndani ya mwaka huu unaoelekea ukingoni na sasa ni mda wa kufunga mahesabu. Je mwaka wako ulikuwaje? Hebu tushirikisheee kama hautajali.

BC Crew

NILITOKEA HIVI!!

Ilikuwa siku poa sana pande zangu kwani nilikuwj naishuhudia kwa macho yangu mwenyewe ile siku niliyokuwa naiota tangu zamani. Asante Mungu Muumba kwa kuwawezesha wazazi wng kwa kunipeleka shule.

BC Crew

Thursday, December 20, 2012

Packers and Movers in Pune


WWW,Agarwal-Packer-Mover.Com : If you are loo king to moving from one place to another can be daunting and stressful events of life. That's why we are here we have professional who can made much easier and simpler your requirements.

We tried our best to provides Packers and Movers in Pune, Car Transportation Services in Pune, Car Career Service in Pune, Relocation Services in Pune, Cargo Services in Pune, Movers and Packers in Pune, Office Shifting in Pune, Household Shifting Service in Pune, Commercial Shifting in Pune, Packing Unpacking Service in Pune, Moving Services in Pune, Car Moving Services in Pune, Packers Movers Services in Pune. Where You Want to Shift ? or Other Details:

relocation services, packers movers Pune, movers packers Pune


Monday, December 17, 2012

Packers and Movers in Delhi


Packers-Movers-Delhi-Ncr.Agarwal-Packer-Mover.Com is an Online platform where you'll get best, affordable, trustworthy and reputed Movers and Packers Delhi in Just one click. Our team tried to provide you best and affordable service providers in your area doesn't matter you are in jammu, chandigarh, mumbai, pune, delhi, gurgaon, noida, bangalore, chennai or any part of across India our motive is just to provide you best service through our online and offline network.

Packers and Movers in Delhi, Car Transportation Services in Delhi, Car Career Service in Delhi, Relocation Services in Delhi, Cargo Services in Delhi, Movers and Packers in Delhi, Office Shifting in Delhi, Household Shifting Service in Delhi, Commercial Shifting in Delhi, Packing Unpacking Service in Delhi, Moving Services in Delhi, Car Moving Services in Delhi, Packers Movers Services in Delhi. For More Details Visit : WWW.Agarwal-Packer-Mover.Com

relocation services, packers movers ghaziabad, movers packers ghaziabad

Sunday, December 16, 2012

Adwords Voucher UK , USA & CANADA

DLL INCORPORATION PROVIDES 100$ WORDWIDE  ADWORDS VOUCHER YOU CAN USE IT WITHOUT SPENDING  25$. PRICE FOR THIS COUPON IS 900 INR OR 17$.

Inline image 1


WE ALSO PROVIDE FACEBOOK COUPON WORLDWIDE SERIES OF  50$ ONLY IN 300 INR OR 6$.  FOR MORE DETAILS VISIT www.choicedelhi.in

WE DESIGN WORDPRESS WEBSITE ONLY IN 5000 INR  SEO 10K PER MONTH | BING 75$ COUPON IN 200 INR .

CALL 9136075049 Skype Id Speakmeme . Paypal , Liberty Reserve and Moneybookers and Bank payment also accepted.

Saturday, December 1, 2012

WATU WLIOIBA VITU VYA MAREHEMU SHARO MILIONEA WAVISALIMISHA

Watu waliofanya kitendo cha aibu cha kuiba baadhi ya mali za Sharo milionea aliyefariki dunia kwa ajali ya gari huko Muheza, wamevisalimisha kwa mkuu wa kijiji. Tukio la usalimishaji wa mali hizo umetokana na kauli kali toka kwa mkuu wa wilaya ya Muheza bibi Subira Mgalu, kutangaza kusakwa kwa watu hao na endapo watapatikana watafunguliwa mashitaka.

BRAZIL KUKIPIGA NA ITALY UFUNGUZI

Hii ilikuwa ni katika droo ya ufunguzi wa kombe la FIFA Confederation la mwaka 2013 iliofanyika huko  Sao Paul Brazili katika ukumbi wa Anhambi. Katika droo hiyo timu ya taifa ya Brazil inategemea kukipiga na  timu ya taifa ya Italy, wakati Spain atakipiga na Uruguay.
Kundi A litakuwa kama ifuatavyo: Brazil, Japan, Mexico na Italy.
Kundi B litajumuisha timu ya Spain, Uruguay, Tahiti na watakaokuwa mabingwa wa Afrika. Mashindano haya yatapigwa huko Brazil kuanzia tarehe 15-30 ya mwezi juni mwaka 2013. Na haya ni mashindano ya tisa tangu kuanzishwa kwake na FIFA.
Kufanyika kwa mashindano haya ni maandalizi ya kombe la dunia litakalo fanyika hukohuko Brazili ifikapo mwaka 2014.