Tuesday, September 20, 2011

Ujio Mpya Mdau!

Kaa mkao wa kula mda huu kwani n2c group inakujia na mengi mda huu. Kupitia site hii maojiano na wasanii wakubwa na wanaochipukia katika fani ya muziki wa Bongo Flavour na hip hop Tanzania yatakuwa yanapatikana hapahapa Bongo corner.
Kuwa wakwanza kujua wasanii hawa wanafanya nini na wapo wapi kwa sasa.

0 comments: