Tuesday, January 31, 2012

Blad Key ndani ya bongo Corner!!

Yap niyeye! niyeye! niyeye!!!! mzee wa vimepanda bei au waweza kumwita Mr. Vimepanda bei! Jamaaa atajimwaga katika kurasa za Bongo Corner na kutueleza kila kitu kinacho muhusu yeye. Yaaaani kwa sasa anafanya nini na tujiandae na nini mbali na Vimepanda bei na je ni kwanini vimepanda bei na mengine mengi yatamwagika kutoka hapa yaaani ni Kideo mixer mixer maelezo na picha pale kati. Hii ni kwa wale wote wajanja wa mjini Karibuuuuu!
Tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu!

0 comments: