Saturday, November 26, 2016

KAMISHENI YA MAAFISA WAPYA WA JWTZ

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama Dkt. John Pombe Magufuli atunuku kamisheni kwa maafisa wanafunzi kundi la 59/15 wa Jeshi la wananchi wa Tanzania Ikulu leo jijini Dar es salaam Novemba 26,2016.

(Taarifa na blog ya Ikulu)

0 comments: