Monday, May 8, 2017

BANKI KUU YA TANZANIA YAIFUTIA LESENI BENKI YA FBME

Banki Kuu ya Tanzania imesimamisha shughuli zote za FBME Bank Limited ikiwemo kufuta leseni yake ya kufanya shughuli za kibenki; kuiweka chini ya ufilisi; na kuiteua Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kama mfilisi kuanzia tarehe 8 Mwezi Mei, 2017 


0 comments: