Thursday, September 21, 2017

DIAMOND APATA MCHONGO MWINGNE

Msanii wa bongo flava Diamond platinumz amepata mchongo mwingine wa kuwa balozi wa brand kubwa ya wine toka Ufaransa, Belaire. Hii inamfanya Diamond kuwa mmoja kati ya mabarozi 200 wa wine hiyo. Big up Simba!!!

0 comments: