Saturday, December 9, 2017

RAISI ATOA MSAMAHA KWA PAPII KOCHA NA BABU SEYA

Raisi Dkt. John Magufuli ametoa msamaha kwa wasanii Papii Kocha na Nguza Viking a.k.a Babu Seya waliokuwa wanatumikia kifungo cha maisha jela.
Raisi Magufuli ameyasema hayo mapema leo alipokuwa anahutubia katika sherehe za kuazimisha miaka 56 ya uhuru wa Tanganyika.

0 comments: