Saturday, February 2, 2013

PPF TOWER YAWAKA MOTO

Jengo la ppf lililopo Posta Dar es salaam linawaka moto mda huu. Jambo la kushangaza kikosi cha zima moto kimepigwa na butwaa baada ya kukosa vifaa vya kuzimia moto magorofa marefu.
JPM

0 comments: