Friday, October 24, 2014

FISI AZUA KIZAAZAA MJINI SINGIDA

Leo katika mji wa Singida eneo lifaamikalo kama sokoni aliibuka fisi na kuzua mtafaruku. Fisi huyo ambaye baada ya watu kumzonga aliingia katika moja ya duka lililokuwa wazi. Wananchi waliokuwapo eneo hilo walifanikiwa kumpiga fisi huyo na hatimaye kumuua kabisa.
Ila chaajabu watu wengi wamekuwa wakihusisha tukio hilo na imani za kishirikina kwani ni ajabu fisi kutokea katikati ya mji ambapo hamna ata mbuga karibu.

0 comments: