Sunday, October 5, 2014

YANGA YAWAPIGISHA KWATA JKT

Kikosi cha timu ya Young Africans chini ya kocha mbrazil Marcio Maximo leo kimeendeleza wimbi
la ushindi katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya maafande wa jeshi la
Kujenga Taifa nchini JKT Ruvu mchezo uliofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijin
Dar es salaam.

0 comments: