KARIBU BONGO CORNER ENTERTAINMENT GROUP

Karibu katika site yako iliyo bora na inayokuletea habari mbalimbali zinazoigusa dunia katika nyanja ya burudani zaidi. Kaa mkao wa kuburudika zaidi ndani ya Bongo Corner!!! More

Saturday, May 12, 2012

ROMA MKALI WA HIP HOP AFUNIKA MOSHI

Roma mkatoliki afunika mbaya Moshi, mathematics imewapagawisha mbaya macharii wa pande za Moshi. Hii ilikuwa katika tour ya Kilimanjaro Premium Lager ya kuwatembeza washindi wa tuzo mbalimbali karbu miji yote mikuu nchini Tanzania.

BC Crew

STEREO ATARAJI KUANZISHA CREW YAKE

Baada ya kudondosha ngoma mpya mtaani ifahamikayo kama "mswahili" Stereo sasa anategemea kuanzisha kundi lake. Akibonga na Bongo Corner Stereo alifunguka hivi, "Nataka kutengeneza Crew yangu kama tu nitapata watu wanaojua kuchana zaidi yangu". Lakini Stereo amesisitiza kuwa yeye ni bado yupo MLAB. Kila kheri kaka.

BC Crew

Monday, May 7, 2012

HAKUNA BIFU!

"Hakuna ugomvi wowote kati ya Izzo Buzness na Roma" hii ni kauli yake Izzo Buzness aliyoitoa kwa media hii leo na jamaa amesisitiza kuwa wao ni marafiki wakubwa na isitoshe wote wametoka sehemu moja yaani Mbeya. Izzo amesema ilikuwa ni ishu ya bihashara tu kukuza vyao vipato na majina mjini hapa.

BC Crew

TUHUMA ZA UTAPELI ZIDI YA RICH ONE

Mtu mzima Rich One aeleza kinaga ubaga tuhuma zilizopo dhidi yake juu utapeli. Msanii wa Bongo Flava Rich One hivi karibuni aliswekwa selo kwa siku moja baada ya kutuhumiwa kufanya utapeli juu ya msanii mwenzake Alli Kiba. Rich One amekana tuhuma hizo na hadi sasa kesi ipo bado chini ya uchunguzi wa polisi na Rich One yupo nje kwa dhamana. Kaa nasi kwa habari zaidi.

BC Crew

Saturday, May 5, 2012

BLUES CELEBRATE THEIR FOURTH FA CUP TRIUMPH IN SIX YEARS!!

A quality starved fist half was punctured only after 11 minutes when Ramires capitalised on a series of Liverpool errors to burst down the right and slot into the net.
2-1 scores gave Chelsea the victory against Liverpool in FA cup championship.
Drogbas historic finish soon after half-time looked to have Chelsea comfortable but Andy Carroll came off the bench for Liverpool to slam home an emphatic finish shortly past the hour.
He thought he had pulled off an astonishing comeback in the 82nd minute when he powered a header at the far post, but somehow Petr Cech was able to claw it back before crossing the whole of the line, those few millmetres securing the Blue's triumph as they held off a furious final assault.
BC Crew

Thursday, May 3, 2012

"We're living in the Real Madrid era" - Karanka

The Real Madrid assistant coach Aitor Karanka believes his side winning the La Liga tittle is the start of an era for the Santiago Bernabeu side.
Madrid have two games to go in this season after the great victory they got from Athletic on Wednesday. Madrid beat Athletic Bilbao 3-0 to secure the legue tittle.
This made Karanka to believes they throughly deserve their success after overcoming Barcelona in a drawn out battle.

BC Crew

Wednesday, May 2, 2012

Afande _ "VIPARA, VITAMBI AU RASTA SIYO SABABU YA KUWA KIONGOZI"

Afande Sele a.k.a mtu poli toka Moro awaelezea watanzania juu ya uwezekano wake wa kugombania ubunge mkoani Morogoro a.k.a mji kasoro bahari. Afande amezungumza hilo sanjari na tukio lake la juzi la kupigwa na polisi na wagambo lilompelekea kusweka jela. Haina mbaya mkubwa kila la kheri katika mbio hizo za ubunge mheshimiwa!

BC Crew

Monday, April 2, 2012

Man United go five points Clear

Late goals from Valencia and Young led the Red Devils to a 2-0 away win against Blackburn Rovers and help them pull father away from Man City at the top of Premier League. Man United now lead the EPL with five points up!

The official Video of Professor Jay ft Marco Chali "KAMILIGADO"

We miss you Daddy!!!! Welcome again in the industry. The heavy weight MC Professor Jay released his new video known as KAMILIGADO check it out and come up with your comments! Watch it now Click here!

Chadema wins arumeru East by-election!

Finally the winner for East Arumeru parliamentary by -election has been declared this morning. Mr. Joshua Nassari the candidate from Chadema has been announced as the winner by Arumeru East returning officer, Mr. Trasence Kagenzi. According to Mr. Kagenzi Chadema through its candidate they got 32672 votes while CCm candidate Mr. Sioi Sumari got 26,757.
The stiff competitions was between two parties Chadema and CCM while other five candidates registered a poor performance.
Eight candidates from eight parties were compete for the seat that fell vacant following the death of Mr. Jeremia Sumari in January this year. These parties were, Chadema, CCM, TLP, DP, UPDP, AFP, SAU and NRA.

Wednesday, March 28, 2012

JOS MTAMBO FT BELL 9 NAONGEA NA ROHO


Save these people!

There ia a lot that the leadership can and should do to ensure that Tanzanians live the better life they deserve. There is salvation in the mineral wealth that is being abused through greedy contracts signed by our leadership! Recall in the 1960s, Botswana was a very poor country with the economy predominantly of hunters and gatherers. After discovery of minerals wealth the leadership defied all dictates of the so called foreign investors who even threatened to ensure that Botswana will have no outlet for its diamonds. What happened? The leadership said to hell; and demanded that Tswanas  must be in the deep shafts, in the strong room and at the sale outlets! !, the Govt         must have significant share, the investors on top of that pay royalty, etc. The investors never left todate ! Chevez and the American investors? Zambia and its Copper? Nothing like any of these in Tanzania. We give this advice to the government and we are met with a deaf ear and branded "theorist". IT IS OUR DUTY TO KEEP SHOUTING AND WE BELIEVE ONE DAY WE WILL GET A LISTENING EAR. Follow closely what is happening now in the mineral sector, partly an influence of our "shouting" By Prof Mbelle






Monday, March 26, 2012

Cristiano Ronaldo and Gonzalo Higuain to Chelsea? For $100 million

Cristiano Ronaldo celebrates after putting Real Madrid into a 2-0 lead against Real Sociedad

 

 

 


Chelsea are preparing to launch an audacious €100 million bid for Real Madrid stars RONALDO and Gonazalo Higuain, according to a report in the Daily Telegraph.Cristiano Ronaldo became the fastest player to reach 100 league goals in Spain with a brace against Real Sociedad on Saturday night


While the Blues' strikers have struggled for goals this season - sturridge,drogba and torres scoring just 26 between them in all competitions - Ronaldo has scored 45 goals by himself to help Real to a six-point lead over Barcelona at the top of La Liga.
And with Chelsea owner Roman Abramovich thought to be planning a major squad overhaul this summer, Ronaldo and team-mate Higuain are both believed to top the list of players he wants to lead a Stamford Bridge revolution.
The Daily Telegraph reports that a potential £82.3 million move for the Real pair could depend on mourinho returning to manage the Blues, as he would need to persuade the players to leave the Bernabeu.
Should Mourinho not come back to Chelsea, the newspaper claims that Abramovich will turn his attentions to Napoli duo Cavani and Lavezzi who could reportedly be prised away from the Italian side for a fee of €70 million (58.5 million).
If the Blues fail to qualify for the Champions League they may have to re-assess their transfer options, though, as it would certainly adversely affect their ability to attract players of the quality of Ronaldo, Higuain, Lavezzi and Cavani.
Ronaldo bagged a brace for Real at the weekend as the Primera Division leaders beat Real Sociedad 5-1 on Saturday, the Portuguese forward becoming the fastest player to reach 100 league goals in Spain as he took his total for the club to 101 goals in just 92 league games.

Safe Ways to Help Kids Lose Weight


How healthy is "baby fat"? It's no secret that childhood obesity  is epidemic in the United States. The USA centers for diseses reports that the percentage of obese kids has tripled over the last thirty years and that one-third of American children and adolescents are obese or overweight. The  risks of bein overwheit are well documented, but how to actually tackle the problem is far less clear to most families.
Writing for the April 2012 "Shape" issue of VOGUE, mom Dara-Lynn Weiss touches on many of the obstacles facing parents who try to help their kids achieve a healthy weight. When Weiss's daughter, Bea, was seven, her pediatrician diagnosed her as seriously overweight. With the help of a childhood-obesity specialist, Weiss put her on a diet. Other parents were shocked at the idea of restricting a child's eating and even her daughter's grand parents (who eventually came around) begged to give her larger servings of pasta and junk food. Weiss writes, "Everyone supports the mission but no one seems to approve of my methods." Not to mention her daughter, who balked and whined about taking her lunch to school and missing out on the processed treats that other children were allowed to eat.
Weiss recounts that as part of the process, she had address her own issues around food. She admits to having tried every kind of diet including raw food and juice fasting and once "begging a doctor friend to score me a prescription of fen-phen"-after it had been found to have serious side effects. She also acknowledges her approach to her child's nutrition before she went on a supervised eating plan had been haphazard and inconsistent.
After a year of struggle, her daughter did lose sixteen pounds and grew two inches, but Weiss writes, "For Bea, the achievement is bittersweet…Only time will tell if my early intervention saved her from a life of preoccupation with her weight, or drove her to it." Her story underscores just how complicated it can be for families of obese and overweight children. "Mom and dad need to be comfortable with their own body image to help kids instill good eating habits," Amy Jamieson-Petonic, RD, national spokesperson for the academy of nutrition and dietetics tells Shine. She points out that "wellness doesn't happen in a vacuum" and emphasizes that living a healthy lifestyle is a family affair.
Melinda Johnson, RD, also of the Academy, recommends that families should focus more on getting healthy than on losing weight. "A seven year-old with extra weight is showing symptoms of an unhealthy diet," Johnson tells Shine. "There is a huge concern that when we focus too much on weight we might be encouraging disordered eating." Johnson warns that making derogatory comments about your kid's appearance or feeding them differently than their siblings can create additional problems.
What's a parent to do? Fortunately, according to Johnson, most overweight kids who start eating nutritious food and increase their activity level will grow naturally toward a normal weight for their genetics. Johnson and Jamieson-Petonic offer these tips for getting your family on track.

If you think your child is overweight or obese, it's important to enlist your pediatrician's support and guidance. A registered dietician can also help.
Don't expect your child to completely avoid junk food. "One piece of birthday cake never made anyone fat," says Johnson. Help children learn to make good choices about healthy food and having the occasional indulgence.
Feature nutritious food, such as a bowl of fruit or whole grain crackers and hummus, on the counter. Stow the junk food in cupboards.
Don't eat in front of the television. This can lead to the mindless consumption of empty calories.

Research shows that kids who eat meals with their parents tend to have healthier weights, higher self-esteem, and do better in school. It doesn't always have to be dinner-breakfast or lunch counts.
Eat the way you want your child to eat. Modeled behavior is a powerful tool. Emphasize low fat dairy, fruits, vegetables, beans, lean meats, and whole grains.
Structure your meals. Grazing all day can pile on calories. Kids need to get in touch with their hunger cues and learn to eat when they are hungry, not just snack.
Cutting down on screen time helps children be more active. After a set amount of time, turn off electronics and ask kids to go and play.

Its great if kids enjoy sports but if they don't, try going for family walks or bike rides. You can also garden together, play at the park, or walk the dog. Activities should be enjoyable, not punishing.
Let kids help with shopping and cooking. They will be more likely to try new foods if they are involved in their preparation.

The Academy of Nutrition and Dietetics website, etright.org has a wealth of information about healthy eating for families.

Mancini 'laughs off' Fergie jibe!!!!

Image text here
Roberto Mancini: Manchester City manager has laughed off Sir Alex Ferguson's comments, says David Platt

David Platt says Roberto Mancini has laughed off comments from Sir Alex Ferguson and has dismissed concerns the Manchester City manager is feeling the pressure.
City returned to the top of the Premier League table on goal difference on Saturday after a 1-1 draw at stoke city but mancini did not speak to the media after the game.
The build-up to the match had featured  ferguson responding to claims from former City midfielder patrick vieira that United had shown 'weakness' in bringing scholes out of retirement.
Ferguson suggested that City, meanwhile, had been 'desperate' in calling on  tevez again after Mancini had previously hinted that the Argentine would not play for the club again.

Thursday, March 22, 2012

Umeipata Hii wewe Mwana Chadema

Chukua hii taharifa wewe mwanachadema na mpenzi wa Chadema, kutakuwa na kikao tarehe 25/3/2012 pale Matongee Carnival Arusha, saa 7:30 mchana kumbuka upatapo taarifa hii mfahamishe na mwenzako pia.

Kaa tayari kwa Video ya Jipange toka kwa Blad Key!

Blad Key asema"Baada ya nyimbo yangu ya VINAPANDA BEI kupokelewa vizuri na kufanya poa. Sasa nipo katika maandalizi ya kushuti nyimbo yangu mpya iitwayo "JIPANGE" so nahitaji kina dada 7 wazuri na warembo kwa ajili ya kuipamba video hiyo. Kama unajiamini ni mzuri na una mvuto wa video just inbox me au waweza pia kuwasiliana na PERES PAUL. Nahitaji kufanya kitu kizuri zaidi hata nyimbo yangu ya vinapanda bei. thankx in advance." 

Monday, March 19, 2012

Somali refugees killed by Mogadishu mortars


A Somalian carries the dead body of a child killed with four family members by a mortar shell that struck their home in Wardhigley district, Mogadishu on March 19, 2012. 
 
About six people have been killed in Somalia after mortars landed on a refugee camp near the presidential palace in Mogadishu, officials say.
A family of four were reportedly among those killed when a mortar landed on their shack - a girl of seven is said to be the only survivor.
Islamist group al-Shabab said it had fired more than a dozen mortars.
The al-Qaeda-linked group controls many southern areas but is under attack on a number of fronts.
Ethiopia has sent troops from the west and Kenya from the south, while al-Shabab was forced out of Mogadishu last year.
"A father, mother and two of their children have all died after a mortar shell smashed into their hut, and another round killed two other civilians," witness Abdiwahid Mohamed told AFP.
Paddy Ankunda, a spokesman for the African Union force supporting the UN-backed government, told Reuters news agency that about six civilians had been killed but no mortars had landed in the presidential palace.
Although al-Shabab no longer controls any Mogadishu districts, it stages frequent attacks on the city.
Last week, five people were killed when a bomber blew himself up near the presidential palace.
The government only controls the capital but last week started its first advance beyond the city limits.
The country has been racked by fighting since its last effective national government was toppled 21 years ago.

Naked & Famous Introduces The World's Heaviest Jeans


naked famous worlds heaviest jeans
Have U ever wanted a pair of jeans that could double as decor? Then look no further because Naked & Famous has made that wish come true.
The unique denim company has just revealed their 32oz selvedge denim jeans, and FYI, these bad boys can stand on their own.
It took a lot of mallet hammering and expert sewing, but their team was able to produce 138 pairs for select retailers.
With a price tag of $800, we don't expect everyone to splurge on these. But it's nice to know they exist!

Madonna Set For Record Shattering 41St U.S. Dance Chart Number One


Madonna and her family are seen arriving at the Kabbalah Center on the day before the Grammys













Madonna will extend her list of successes on the Billboard Dance/Club Play Songs chart next week (beg19Mar12) when her 41st track hits number one.
The pop superstar's Give Me All Your Luvin' tune, which features Nicki Minaj and M.I.A., is expected to hit the top spot when the countdown is officially announced on Thursday (22Mar12).
The feat means the Music hitmaker has scored a number one on the chart in four consecutive decades. She last hit the top spot in 2009 with Celebration.
No one else really comes close - Janet Jackson is second on the list with 19 chart-toppers.

Saturday, March 17, 2012


George Clooney Arrested in Sudan Protest


George Clooney Arrested in Sudan Protest
George Clooney
You can't keep a good man down.

George Clooney was arrested Friday for participating in a staged protest outside the Sudanese embassy in Washington, D.C., organized to bring attention to that country's president, Omar al-Bashir, provoking a crisis with his blockade of humanitarian aide.

Regarding the situation, Clooney, 50, had said earlier in interviews that if steps were not taken in the next three to four months, "We're going to have a real humanitarian disaster." He also said he is impressed with President Barack Obama's personal engagement on the situation in Sudan. On Wednesday, the actor testified before Congress about the "campaign of murder" in Sudan.

As he was being taken away Friday morning, after authorities warned him three times to leave, Clooney said, "This is for the government in Khartoum to stop randomly killing its own innocent men, women and children. Stop raping them and stop starving them. That's all we ask," reports USA Today.

Handcuffed and arrested along with him were his father, journalist Nick Clooney; U.S. Rep. Jim Moran (Dem.) of Virginia; NAACP President Ben Jealous, among others, reports the Associated Press. They were then placed in a Secret Service van.

Max Milien, spokesman for the Secret Service, told PEOPLE the actor was being cooperative. "He's being charged currently with disorderly crossing of a police line, which is a misdemeanor and he will be transported to the second district of the Metropolitan Police Department for processing," Milien said.

A rep for the actor released a statement after the arrest, stating, "They were protesting the violence committed by the government of Sudan on its own innocent men, women and children. They were demanding they allow humanitarian aid into the country before it becomes the largest humanitarian crisis in the world."

The arrest was not unexpected, Earlier in the day, The Washington Post reported, "By standing on the embassy's private property, they're likely to get cuffed, arrested and charged."

Clooney was eventually released Friday afternoon.

George Clooney Arrested in Sudan Protest| Crime & Courts, Good Deeds, George Clooney

Is Bobbi Kristina Brown Engaged to 'Adopted Brother'?

Is Bobbi Kristina Brown Engaged to 'Adopted Brother'?
Bobbi Kristina Brown and Nick Gordon

The eyebrow-raising  reletionship between Whitney Houston's daughter and the man raised by the singer as a son may have gone one big, baffling step further.

Just a little over a month after Houston died, Bobbi Kristina Brown, 19, was spotted with a ring on her engagement finger following days of very public PDA with Nick Gordon.

One source tells PEOPLE, "Yes, they are engaged, but the family is trying to coax her away from it. "

Another source says, "Nick asked Krissi about a week ago to marry him" and that she's wearing a ring that once belonged to her mom. But the source doesn't know if Brown said yes.

The source does believe that Brown's grandmother, Cissy Houston, "is worried."

Brown and Gordon, 22, have been spotted getting affectionate in public recently, sharing kisses and holding hands while running errands in Atlanta.

The two have been living together in Houston's house and have known each other for years. Gordon reportedly was taken in by Houston more than a decade ago and had been living with the family in her Atlanta home.

There is no evidence, however, he was ever legally adopted by Houston, who
died on feb.11 at age of 48

A close family friend hinted at their relationship, though, telling PEOPLE, "I have always felt there was some interest beyond a platonic interest in each other."

George Clooney Releasing New Line Of Tequila

George Clooney tequila
Ever wonder what  george clooney drinks to get drunk? It's a tequila called Casamigos and soon he's gonna start selling it!
The Oscar winner has joined forces with  cindy crawford's restaurateur husband Rande Gerber to launch a new line of tequila and, according to sources, two pair plans on "making the liquor available to all."
Not exactly sure what what means, but we hope that implies it will be affordable and NOT that they plan on selling it to minors! LOL!
When talking about his new business venture, the actor told sources:
"I don’t think we’re going to be following all the rules. We know we have a product we love and we drink, and other people will enjoy. The product speaks for itself."
We'll give it a shot. Or two. Or three. Will U?

Friday, March 16, 2012

kwa wale watumiaji woote wa FACEBOOK Arusha hii inawahusu..

.

Lady Gaga Pulls the Plug on Interviews: WTH?!

Lady Gaga always creates so much buzz with her fashion statements and outspoken views, so why is she pulling the plug on interviews for the time being?
In an upcoming interview with Oprah, the star reveals that she won't be giving interviews for the foreseeable future as she is taking a self-imposed vow of silence.
We don't know what to say either.
Gaga in Japan
Gaga appears on Oprah's Next Chapter this Sunday, and tells Winfrey:
"Other than this interview, i do not intend to speak to anyone for a very long time... No press, no TV. If my mom calls and says, ‘Did you hear about...' I shut it all off."
Those gaga's hermaphrodite rumors can be tough on a parent.
She goes on to admit that she doesn't care much for media coverage of her, saying, "I don't read a damn thing." Still, it's a dramatic about-face for the music icon.
Her meteoric rise has been powered by an all-Gaga-all-the-time PR blitz. Of course, this doesn't mean she'll be invisible, per se, given her bombastic live shows.
And Tweeting. She just became the first person to nab 20 millions followers on twiterwhich means we can always expect Gaga news ... in 140 characters or less.

UEFA quarter final to fainal draw..CHECK HERE






Quarter-final draw
1 APOEL FC (CYP) v Real Madrid CF (ESP): 27 March/4 April
2 Olympique de Marseille (FRA) v FC Bayern Mรผnchen (GER): 28 March/3 April
3 SL Benfica (POR) v Chelsea FC (ENG): 27 March/4 April
4 AC Milan (ITA) v FC Barcelona (ESP): 28 March/3 April

Semi-final draw
1: Marseille/Bayern v APOEL/Madrid: 17 & 25 April
2: Benfica/Chelsea v Milan/Barcelona: 18 & 24 April

Final (19 May, Football Arena Mรผnchen, 20.45(CET)
Winner semi-final 1 v Winner semi-final 2

Thursday, March 15, 2012

Vitus afunguka hivi ndani ya mwaka 2012

Saturday, February 25, 2012

Mansu-Li ndani ya Club Bilicanas Keshooooo!

JUMAPILI HII 26/02/2012 NDANI YA CLUB BILICANAZ, MANSU-LI & AVELI GHETTO MASSAYA, NA P THE MC WATAFANYA MAMBO SAMBAMBA NA WATEULE - JAYMOE,MOXIE NA JAHFFARAI NA WENGINE KIBAO. KARIBU SANA KWA KIINGILIO CHA SHILINGI 6000/-

Wednesday, February 22, 2012

Sugu na Ruge sasa Amani

Meza kuu ya upatanisho ilikaliwa na Mhe. Emanuel Nchimbi wazili  wa vijana, habari,michezo na utamaduni, Joseph Mbilinyi (sugu) mbunge wa Mbeya mjini, Ruge Mutahaba (Mkurugenzi wa Clouds Media Group) na mbunge wa Singida mashariki Mhe. Tundu Lisu.
Hii ilikuwa katika kutafuta suluhisho la mafarakano yaliokuwepo kati ya Mr. Sugu na Mr. Ruge yaliyofanyika mbele ya waandishi wa habari kwa lengo moja tu la kutafuta huo upatanishi. Sasa Sugu na Ruge wanafungua ukurasa mpya na kufuta yale yaliyopita. Waswahili husema "Yaliyopita si ndwele tugange yajayo"  na sasa tunategemea kuona kauli mpya tofauti na zile zilizopita. Amani kwenu wadau.

Mwanamke wa Wiki

Flaviana Matata mwanamitindo wa kike anayetikisa nje ya bongo na kuifanya Tanzania kung'ara katika tasnia ya mitindo kimataifa. Leo mrembo huyu mwanamitindo ndiye anayetung'arishia ukurasa wetu kwa kuwa ni mwanamke wa wiki ndani ya Bongo Corner. Hii ndiyo aina ya wanawake wanaoitajika katika dunia ya leo yaani kwa maana kwamba, mwanamke anapaswa kujishughulisha na siyo kungojea kuwa mdakaji. Flaviana ni moja kati ya hawa wanawake ninao wazungumzia. Mwanadada huyu kwa sasa anamiliki au anatarajia kumiliki taasisi yake inayofahamika kama Flaviana Matata Foundation. Pongezi za dhati kabisa zinadondoka kwako mwanadada Flaviana toka katika uongozi mzima wa Bongo Corner Entertainment na Mungu akuzidishie katika kazi zako!

Monday, February 13, 2012

Zambia wang'ara

Timu ya taifa ya Zambia imeng'ara katika michuano ya mabingwa Afrika baada ya kuishinda Ivory Coast kwa mikwaju ya penati.
Timu ya Zambia imeiwekea tiafa hilo heshima katika kuwaenzi wachezaji ya zamani wa timu hiyo waliofariki kwa ajali ya ndege mnamo waka 1993.
Kung'ara kwa timu hiyo

Sunday, February 12, 2012

Bobby Brown astushwa na kifo cha Whitney

Mwana muziki Bobby Brown na aliyekuwa mume wa Whitney Houston ajikuta akipagawa ghafla jukwaani kutokana na kupata taarifa za kifo cha aliyekuwa mke wake (Whitney) kilichotokea jumamosi hii.Habari hizi zilimfikia Bobby pindi alipokuwa katika tamasha moja na New Edition huko Landers Center Mississippi.
Bobby alijikuta akikili mbele ya uma mapenzi ya dhati aliokuwa nao juu ya mpenzi wake huyo na kukaliliwa akitamka maneno yaha,"Hawali ya yote napenda kuwaambia kwamba nawapenda sana nyote" Anasema Bobby, "Pili napenda kusema, nakupenda sana Whitney na inaniwia vigumu sana mimi kuwepo hii leo katika jukwaa hili nanyi" mwisho wa kunukuu.
 took the stage with New Edition at Landers Center

Saturday, February 11, 2012

Whitney Afariki dunia!

Whitney Huston enzi za uhai wake
Kwa habari zilizotufikia ni kwamba msanii Whitney Huston amefariki dunia, habari toka CNN zilisema kuwa mkali huyo alikutwa na umauti  mida ya 3:55 p.m katika hotel ijulikanayo kama Beverly Hilton Hotel.
Huston amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 48 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1964.
Whitney atakumbukwa kwa kazi nyingi alizozifanya enzi za uhai wake, hususani albamu zake mbili za ukweli  kama "I'm your Baby Tonight," ya miaka ya 90 na "The Bodyguard" kazi iliyotufanyika miaka ya 92.
Salamu za pole ziende kwa wapenzi wote wa mwana mziki huyo hususani kwa yake familia na hasa mwanae wa kike afahamikaye kama Bobbi Kristina. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina!









Rooney aipaisha Man United!

Mabao mawali yaliyofungwa na Wyne Rooney yameipa Manchester United ushindi zidi ya maasimu wao Liverpool katika uwanja wa Old Trafford. Ushindi huo umeifanya timu ya Manchester United kukaa kileleni kwa sasa huku mechi ya maasimu wao wakuu Manchester City ikiwa inasubiriwa kuthibitisha uwepo wao kileleni.
hekaheka kati ya Evra(Manchester United) na Suarez (Liverpool) halikukosekana, ni kutokana na Suarez kukataa kumpa mkono wa kheri Evra kabla ya mech kuanza na Evra kuutupilia mbali mkono wa Suarez alipokuwa akimsalimia goli kipa wa Manchester United (De Gea).
Mpira ulianza kwa kasi kubwa sana huku Manchester United wakioneka na kuumilika mpira kwa hali ya juu lakini mpaka timu zinakwenda mapumziko mabao yalikuwa ni bila kwa bila. Upepo ulikuja kubadilika katika kipindi cha pili dakika ya 47 ambapo Rooney aliipa timu yake bao la kwanza. Mnamo dakika ya 50 Wyne Rooney hakufanya hajizi kwa kuipa tena timu yake bao la pili, lakini ilipofika dakika ya pili Luic Suarez aliipatia Liverpool bao la kwanza ukiwa ni mpira uliochezwa vibaya na beki tegemezi ya Manchester United Ferdinand na Suarez kuusukumia mpira huo wavuni.
Ushindi huo unaipa Manchester Unnited pointi 58 zidi ya 57 ya Manchester City, ikifuatiwa na Tottenham yenye pointi 53 zidi ya Arsenal yenye pointi 43 ikilingana na Chelsea kwa poinnti na wengine wakifuatia.

Thursday, February 9, 2012

Mwanamke wa Wiki

Kutana na Joyce Kiwia katika kurasa yetu ya mwanamke wa wiki ndani ya My Profile. Jua Joyce Kiwia ni nani na kwanini ni Joyce na mengine mengi hapahapa katika site yako ya Bongo corner. Kupitia kurasa hii utaweza kuyafahamu mengi  yanayomuhusu Miss Joyce ambayo yawezekana hauyafahamu au unayafahamu kwa kuyasikia tu.

Wednesday, February 8, 2012

Sasa ni Sungura Sokoni!

Mtambue kwa majina kama Said Salum Sungura a.k.a Sungura hili ni jembe la kale lenye mpini mpya sokoni. Mr Sungura ndani ya 2012 ameamua kuufuta wake ukimya kwa kudondosha Song lake Lifahamikalo kama "Nipangishe" Mr Sungura anaomba zennu hifadhi katika Game hii ya Bongo Flava. Jembe ameongea na BC Crew na kujimwaga mazima kuhusu ujio wake. So kaa tayari kumpokea Sungura!

Mr. Vinapanda bei sasa anasema JIPANGE!

Kaa tayari kwa ujio mpya wa Blad Key (Mr. Vinapanda bei) katika nyimbo yake mpya ijulikanayo kama "Jipange!". Jembe linasisitiza kitu muhimu sote tujipange sasa na siyo tulie au kulalamika kutokana na vitu  kupanda bei.  

Tuesday, January 31, 2012

Blad Key ndani ya bongo Corner!!

Yap niyeye! niyeye! niyeye!!!! mzee wa vimepanda bei au waweza kumwita Mr. Vimepanda bei! Jamaaa atajimwaga katika kurasa za Bongo Corner na kutueleza kila kitu kinacho muhusu yeye. Yaaaani kwa sasa anafanya nini na tujiandae na nini mbali na Vimepanda bei na je ni kwanini vimepanda bei na mengine mengi yatamwagika kutoka hapa yaaani ni Kideo mixer mixer maelezo na picha pale kati. Hii ni kwa wale wote wajanja wa mjini Karibuuuuu!
Tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu!

Saturday, January 28, 2012

Barnaba 2012 ndani ya Gubegube


Kaa tayari kwa uzinduzi wa single ya barnaba ijulikanayo kwa jina la Gubegube! Jombaa ndiyo anadondoka kiivi ndani ya 2012. So wadau wote wa barnaba na wamuziki wa Bongo Flava Tukampe shangwe brooooo kiroho safiii!

Sauti za busara Festival

Kaa tayari kwa tamasha la muziki wa kitamaduni zaidi lijulikanalo kama Sauti za Busara. So kama wewe ni mwanamuziki wa kweli tukutane pale Zanzibari tuoneshane sanaa zetu za ukweli. Usikoseeeee tarehe usika mdau.

Thursday, January 12, 2012

Ujio wa Vitus katika Game

Yeye anasema jina la yake nyimbo hajui hatupie lipi. Huyu ni msanii ajulikanae kwa jina la Vitus, jembe hili nalidondosha kwenu wadau mtoe yenu mawazo.  Mwana yupo katika maandalizi ya kukamua kitu chake kipya ndani ya kideo, je kideo kitakuwaje pale kati? Kazi ni kwakooooooooooo kuwa karibu na yako site upate mengi yanayohusu ujio wa hili jembe.