Wednesday, May 15, 2013

NANI KUIBUKA KINARA LEO KATI YA CHELSEA NA BENFICA?

Katika uwanja wa Amsterdam ArenA, na mpuliza kipenga akiwa ni B.Kuipers huko Ureno leo bingwa wa ligi ya ulaya kujulikana. Chelsea itaingia uwanjani pasipo uwepo wa John Terry na Eden Hazard.

0 comments: