Thursday, March 16, 2017

CAF YAPATA RAISI MPYA

Mwenyekiti wa shirikisho la mpira wa miguu Madagasca bwana Ahmad ameshinda uchaguzi wa kinyang'anyilo cha uraisi wa CAF na kumbwaga aliyekuwa raisi wa chama hicho Hayatou toka Cameroon aliyeshikilia nafasi hiyo tangu mwaka 1988.




0 comments: