Wednesday, March 1, 2017

RAISI AMTEUA MAMA SALMA KIKWETE KUWA MBUNGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Magufuli amemteua Mhe. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.






0 comments: