Thursday, March 16, 2017

RAISI MAGUFULI ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA IKULU DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wametembelea eneo linalofanyakazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu Chamwino huko mkoani Dodoma.

0 comments: