Saturday, March 25, 2017

SAMATTA AING'ARISHA TAIFA STARS



Timu ya Taifa "Taifa Stars" imeifunga timu ya Botswana mabao 2 kwa 0 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyuochezwa leo katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Mabao ya Taifa Stars yametiwa nyavuni na Mbwana Samatta, bao la kwanza likifungwa mapema kabisa dakika ya pili ya mchezo na bao la pili likiingia nyavuni dakika 87 ya mchezo.

0 comments: