Monday, March 13, 2017

KANTE AIUA MAN UNITED

N'golo Kante' mchezaji mwenye jezi nambari 7 mgongoni ameiwezesha timu ya chelsea kuvuka robo fainali baada ya kuifunga timu ya Man United bao moja kwa nunge dakika ya 51 ya mchezo.

0 comments: