Sunday, March 12, 2017

Sir George Kahama afariki dunia

Aliyekuwa waziri wa kwanza wa mambo ya ndani katika serikali ya awamu ya kwanza ya Hayati Mwl Nyerere, Sir George Kahama amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa ya muhimbili alipokuwa anapata matibabu.

0 comments: