Monday, March 20, 2017

RAISI AMTAKA RC MAKONDA APIGE KAZI

Raisi Magifuli amemtaka mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuendelea kupiga kazi kama sehemu ya majukumu yake.

"Mimi ni rais ninayejiamini, sipangiwi mambo ya kufanya. Hata fomu ya kugombea nilikwenda kuichukua peke yangu, kwa hiyo Makonda wewe chapa kazi," amesema Rais Magufuli.

0 comments: