Wednesday, March 15, 2017

TRA YATIA KUFURI OFISI ZA TFF

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) limezifungia Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na madai ya kodi inayodaiwa shirikisho hilo.
Tukio hilo la kufungiwa ofisi na TRA limefanywa kupitia Kampuni ya udalali ya yono Auction Mart imewataka wafanyazi kuacha kila kitu cha shirikisho hilo ndani ya ofisi.
Tupe maoni yako

0 comments: