Wednesday, May 23, 2012

MNYIKA ASHINDA KESI ZIDI YAKE

Mbunge wa ubungo John J. Mnyika ameshinda kesi iliyokuwa inamkabili dhidi ya mashitaka yote matano. Hawa Ngumbi ameamriwa na mahakama kumlipa Mjika gharama zote za kesi.

BC Crew

0 comments: