Wednesday, May 23, 2012

WASHIKA DAU WAISHITAKI FACEBOOK

Washika dau wa kampuni ya mtandao wa kijami wa Facebook wameishitaki kampuni hiyo. Hii ni kutokana na thamani ya mauzo ya facebook kushuka katika soko la hisa la Newyork, na taarifa za kushuka kwa hisa kutolewa kiupendeleo kwa watu wachache.

BC Crew

0 comments: