Saturday, May 12, 2012

SHAZI LA WATU LILIKUWA HIVI

Kwakuweka mguu hapakuwepo yaani watu walifunika mbaya pande za Moshi. Hii ilikuwa tour ya Kilimanjaro Premium Lager kuzunguka na washindi wa tuzo mbalimbali za Kili zilizoshindaniwa hivi karibuni. Mmetisha wazazi!

BC Crew

0 comments: